Nimepata ajira ya mshahara wa milioni 1.2, natafuta mke tuanze maisha

pyee!sasa ampate mwanamke akifika HOTELIN ANAANZA KUULIZA UNA VYUMBA VYA SH NGAPI! TUPE BEI ELEKEZI ZA VYAKULA VYA HAPA AHAHAHAH! mwanaume kamili haulizi yy analipa tu! mie uulize oh mbn soda kwetu 500 wewe unauza 700 !Kwakweli nanyanyuka!

punguza mashauzi upate mke mwema shauriro! wenzio hatukuvutika na pesa wala nn!
Mpe mpe mpe mashauzi apeleke hukooo mke hatafutwi kwa nguvu kama hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umepata kazi tu umeanza kuwaza kuishi na mwanamke? Mbona unakaribisha umasikini kwako? Tena unatafuta wa mitandaoni kabisa?

Tulia,andaa maisha yako mwenyewe. Ukiwa vizuri ndio utafute mke.
 
Umepata kazi tu umeanza kuwaza kuishi na mwanamke? Mbona unakaribisha umasikini kwako? Tena unatafuta wa mitandaoni kabisa?

Tulia,andaa maisha yako mwenyewe. Ukiwa vizuri ndio utafute mke.


umeona eh!najijuaga mie mshamba jaman!weng hawajui maana ya mke jaman!ujue uyo utaishi nae had mzeeke aache kbs kurahisisha mambo! km wa kuflirt sawa!ila neno mke pana sana!alafu amesasema ih atasimamia mirad yangu !!!!!!!!hahahahaha huwajui watu wewe anafake hata miaka 4 unajua umeoa mtu kumbe wapii!

sema safi tu oa hao hao walioshindikana tabia tuwe wengi tulie pamojaaaaaaaaaaaaaa!tuhuzunike pamoja tupeane mioyo km hv!kisa cha kulia alone ni nn kwanza !OA!
 
umeona eh!najijuaga mie mshamba jaman!weng hawajui maana ya mke jaman!ujue uyo utaishi nae had mzeeke aache kbs kurahisisha mambo! km wa kuflirt sawa!ila neno mke pana sana!alafu amesasema ih atasimamia mirad yangu !!!!!!!!hahahahaha huwajui watu wewe anafake hata miaka 4 unajua umeoa mtu kumbe wapii!

sema safi tu oa hao hao walioshindikana tabia tuwe wengi tulie pamojaaaaaaaaaaaaaa!tuhuzunike pamoja tupeane mioyo km hv!kisa cha kulia alone ni nn kwanza !OA!

Hongera una nywele nzuri.
 
Jamani kama ni pesa nitakuwa nazo, huo mshahara nimetaja chanzo changu kimoja tu cha kipato, siwezi kuanika kila ktu...na ni vizuri nikajionyesha sina ili atakaenipenda anipenda kwa hali zote hasa akijua mimi ni potential au nina future au nina uwezo. Natafuta mwanamke/binti anayeweza kuvumilia maisha ya kujinyima, kuzichanga na kuheshimu pesa.
Angalia mapenzi ya kujaribiana yamepitwa na wakati.siku hizi hakuna mwanamke wa kumlaza kwenye mkeka.utapoteza tu muda.jichange,jijenge huku ukitafuta mke mwema.kulala nae chini sio kigezo cha kukupenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh..!! Mtoa mada umetisha.. umepata kaz unataka mke fasta! Ila unaeza kuwa na nia njema.. angalia mapungufu watu waliyo kuonyesha kwenye tangazo lako halafu yafanyie kazi. Next tym kua humble unapo tafuta mke iwe online au offline! Wish u all the best
 
joseverest nimekulindia nafasi yako, uje ili tumshauri pamoja


dogo hiyo hela ndogo sana na sana..


gross ya 1.2m net yake ni kama laki 8 na nusu hivi..

tena hapo bodi ya mikopo kama hawakudai.

haya sas tuchekeche laki 8 hiyo ulipe kodi, nauli, msosi, umeme, maji etc..


hiyo hela hapo ni kama unaingiza elfu 27 kwa siku
ambapo hata muuza chips au muosha magari na kindoo tu anakuzidi..

nakushauri swala la kuoa au kuishi na mwanamke weka pembeni kabisa.. fanya saving kisha invest na kuinvest na kuinvest tena.. after 5 yrs ndio usake kimwana..

kipindi hiki tafuta girlfriend tu uwe mnakutana weekend..
Watu wana take home ya 300,000 na wanafamilia yaani mke na watoto.

Acha kutisha watu ndugu, mtoa mada Kasema take home yake ni 1.2m na ana miradi inayomuingizia zaidi ya mara mbili ya huo mshahara, yaani miradi kwa mwezi inamuingizia zaidi ya 2.4m akiplus na huo mshahara si atakuwa anaearn 3.6m kwa mwezi. Ndo atashindwa kuishi na mke?
 
joseverest nimekulindia nafasi yako, uje ili tumshauri pamoja


dogo hiyo hela ndogo sana na sana..


gross ya 1.2m net yake ni kama laki 8 na nusu hivi..

tena hapo bodi ya mikopo kama hawakudai.

haya sas tuchekeche laki 8 hiyo ulipe kodi, nauli, msosi, umeme, maji etc..


hiyo hela hapo ni kama unaingiza elfu 27 kwa siku
ambapo hata muuza chips au muosha magari na kindoo tu anakuzidi..

nakushauri swala la kuoa au kuishi na mwanamke weka pembeni kabisa.. fanya saving kisha invest na kuinvest na kuinvest tena.. after 5 yrs ndio usake kimwana..

kipindi hiki tafuta girlfriend tu uwe mnakutana weekend..
Watu wana take home ya 300,000 na wanafamilia yaani mke na watoto.

Acha kutisha watu ndugu, mtoa mada Kasema take home yake ni 1.2m na ana miradi inayomuingizia zaidi ya mara mbili ya huo mshahara, yaani miradi kwa mwezi inamuingizia zaidi ya 2.4m akiplus na huo mshahara si atakuwa anaearn 3.6m kwa mwezi. Ndo atashindwa kuishi na mke?
 
Kwakweli kua uyaone.... 1.2 unaanza kusema unapenda kula vizuri........... unajua kula vizuri wewe au unaongelea wali nazi na harage au njegere?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom