kiginga211
Member
- Jul 23, 2017
- 25
- 0
Nimepangiwa hostel za mabibo ila kama kuna mtu kapangiwa za magufuri au main campus na anataka mabibo anicheck tubadilishane
Nakushauri ingia kwenye magroup ya WhatsApp ya chuo utapata haraka sana mkuu kuliko humu !Nimepangiwa hostel za mabibo ila kama kuna mtu kapangiwa za magufuri au main campus na anataka mabibo anicheck tubadilishane
Mbona mabibo ni pazuri tu!!Nimepangiwa hostel za mabibo ila kama kuna mtu kapangiwa za magufuri au main campus na anataka mabibo anicheck tubadilishane