Nimepanga mwanangu asome mwisho Kidato cha 4, asiendelee cha 5 na 6

Kwani Ku manufacture ndio Ku invent.Mnashindwa kutofautisha manufacturing and invention. Kufanya Manufacturing sio lazima uwe umegundua vitu hivyo.Halafu Injinia was kiwanda hafanyi kazi ya invention hizo ni kazi ya research center, Injinia kazi yake kusimamia kiwanda kizalishe kama ilivyokusudiwa. Unafikiri kampuni zinazounda ndege zote zinaunda engine ya ndege? Kampuni za kuuda redio zinaunda chip?
China wenyewe wana manufacture simu bado processor wananunua ulaya.Kama manufacturing ni kuunda kila kitu mwenyewe basi sijawahi sikia kiwanda duniani kinachounda kila kitu chenyewe naomba mnitajie kiwanda duniani kinachounda kila kitu mpaka bidhaa ionekane.
Unaweza ukadizaini injini bado ukashindwa Ku manufacture, assembly line and manufacturing ndio muhimu kuliko hata kudizaini kchenyewe.
Kampuni ya Tesla yenyewe imekuwa ikishindwa kufikia uzalishaji kwa sababu hawana facility za kufanya manufacturing kwa wingi kutosheleza oda ndio maana wamekazimika kujenga factories nyingi.Tesla wenyewe wana nunua teknolojia za Ku assemble.Hivi hamkusoma jografia "Ruhrl industrial area ilifanikiwa vipi in 60's.
Chuo kikuu cha Makerere walizindua gari yao ya hybrid system but wameshindwa Ku manufacture b'se kwa sababu manufacturing is about business is not science, science is in the laboratory. Manufacturing wanafanya wenye mitaji sio lazima awe mwanasayansi, manufacturing is all about production not research.
Kasomeni historian ya TATA au Hyundai hao mabosi hawakuwa mainjinia.Acheni kupayuka vitu msivyovijua mmehitimu vyuo gani mambo madogo yanawashinda kuyaelewa,mnaweza kuanzisha viwanda nyinyi kwa uelewa huo?
Magufuri anavyowahamasisha muanzishe viwanda mnafikiri anaka mvigundue? Wakuelewa na aelewe mbishi aendelee na msimamo wake.
Mtaishia kupewa misaada ya kitaalamu hivyo hivyo na hayo ma thermodynamics ya makaratasi yasiyo na tija ongea vitu kwa fact bana mi nimekwenda S.A nilikuta wazalisha locomotives underlinced kutoka kampuni ya ELECTROMOTIVE DIESEL vitu kama bogies, superstructure ndiyo vinakuwa vinatengenezwa pale na magurudumu ila Diesel Engines, Air Compressor, Main and Auxillary Generator, Electrical Control Panel na Air brake valves zote vyatoka La Grange Illinois U.S.A pale wanakuja ku assemble tu. Position zote za maana za kitaalamu wanahusika wao tu.

Mi sibishani tena
 
Kampuni ya INNOSIN ya Nigeria wanafanya manufacturing. Walianza Ku assemble baadae wakaanza kuunda pale.Wanakiwanda cha tairi,wanakiwanda cha plastiki na vyuma. Kwa hio wanatengeneza 70 % na Injini wana import,redio wana import nk.
Sisi tuna karakana kubwa sana ya vichwa vya treni ukanda huu mbona tumeshindwa kufanya walau kama hao Nigeria na tuna wahandisi kibao katika discipline ya Mechanical, Electrical, Tehama n.k mpaka kuleta wageni tena nao wanatumia vibarua tu.

Tuwe wazi wahandisi wetu wengi japo si wote wanapendelea kuwa tu ma project manager.

Kuna ma field engineer kama Mr. Thom, Paul n.k niliwahi fanya nao kazi wametoka Illinois marekani ni wahindisi ila Wana balaa we technician humdanganyi kitu.

Huku nyinyi fundi gereji tu anakudanganya piston rings za gari yako imekwisha na anakupiga na ni msomi wa Automobile engineering... Aise!!!
 
Kwani Ku manufacture ndio Ku invent.Mnashindwa kutofautisha manufacturing and invention. Kufanya Manufacturing sio lazima uwe umegundua vitu hivyo.Halafu Injinia was kiwanda hafanyi kazi ya invention hizo ni kazi ya research center, Injinia kazi yake kusimamia kiwanda kizalishe kama ilivyokusudiwa. Unafikiri kampuni zinazounda ndege zote zinaunda engine ya ndege? Kampuni za kuuda redio zinaunda chip?
China wenyewe wana manufacture simu bado processor wananunua ulaya.Kama manufacturing ni kuunda kila kitu mwenyewe basi sijawahi sikia kiwanda duniani kinachounda kila kitu chenyewe naomba mnitajie kiwanda duniani kinachounda kila kitu mpaka bidhaa ionekane.
Unaweza ukadizaini injini bado ukashindwa Ku manufacture, assembly line and manufacturing ndio muhimu kuliko hata kudizaini kchenyewe.
Kampuni ya Tesla yenyewe imekuwa ikishindwa kufikia uzalishaji kwa sababu hawana facility za kufanya manufacturing kwa wingi kutosheleza oda ndio maana wamekazimika kujenga factories nyingi.Tesla wenyewe wana nunua teknolojia za Ku assemble.Hivi hamkusoma jografia "Ruhrl industrial area ilifanikiwa vipi in 60's.
Chuo kikuu cha Makerere walizindua gari yao ya hybrid system but wameshindwa Ku manufacture b'se kwa sababu manufacturing is about business is not science, science is in the laboratory. Manufacturing wanafanya wenye mitaji sio lazima awe mwanasayansi, manufacturing is all about production not research.
Kasomeni historian ya TATA au Hyundai hao mabosi hawakuwa mainjinia.Acheni kupayuka vitu msivyovijua mmehitimu vyuo gani mambo madogo yanawashinda kuyaelewa,mnaweza kuanzisha viwanda nyinyi kwa uelewa huo?
Magufuri anavyowahamasisha muanzishe viwanda mnafikiri anaka mvigundue? Wakuelewa na aelewe mbishi aendelee na msimamo wake.
Una kichwa kizuri sana mkuu
 
Jamaa mshamba, elimu unaweza ipata hata kwa kujisomea privately tu. Nunua kitabu kinachoelezea mfumo wa gari soma. Ukikimaliza una knowlege in an out kuhusu four stroke engine na transmission, suspension n.k. ukimaliza ukavijua vyote tayari unakuwa umeelimika.

Mf. mi ninafahamu mambo mengi tofauti kwa kujisomea tu mtandaoni. Sina cheti cha automobile mechanical engineer ila ninaelewa mfumo wa gari vizuri tu. Thats education! Sina cheti cha sound engineering ila ninaelewa mambo ya muziki na spectrums zake. Elimu ni ufahamu ulio nao juu ya jambo fulani sio cheti.

Wabongo wanahisi mpaka upewe cheti ndio uwe msomi au uelimike. Tuko katika information age kwa sasa. Ila hatujui nguvu ya internet ndio maana tunaishia kukariri tu vitu visivyo na maana for half a lifetime.
Umeongea point safi sana 'information age'na nguvu ya internate that's power
 
Dah... Wazazi wote tukifanya ivyo mbona mbeleni nchi nzima itakuwa na vilaza tupu, hakutakuwa na MADOKTA tena, WAALIMU, MAINJINIA, n.k yaan itakuwa kama debe lililokuwa halina maji ndani
 
Dah... Wazazi wote tukifanya ivyo mbona mbeleni nchi nzima itakuwa na vilaza tupu, hakutakuwa na MADOKTA tena, WAALIMU, MAINJINIA, n.k yaan itakuwa kama debe lililokuwa halina maji ndani
Nimemwambia kuhusiana na hili suala, matokeo yake anaanza kunitukana na kunitolea kejeli zisizo na msingi.
 
Nimemwambia kuhusiana na hili suala, matokeo yake anaanza kunitukana na kunitolea kejeli zisizo na msingi.
Huo uelewa umeupata wapi mkuu? Hakuna aliesema watu wasifike Chuo kuikuu bali, kuna mfumo unadumaza vijana unatakiwa uboreshwe.TIA wanakozi za certificate mpaka Digrii, kuna watu wana anzia NACTE mpaka UE TI. China mbona iliwekeza sana ktk teknolojia mbona haijawahi juta kukosa madaktari badala yake ndio wamekuwa bora zaidi ktk gunduzi za kitabibu mfano vipimo vya COVUD 19 na chanjo! Na ndio wanaotoa injinia wengi zaidi duniani mpaka wengine wanakuja bongo.
Mbona Mkapa,Majaliwa,JPM pinda wote wamewahi shauri mfumo wa elimu uboreshwe, we hujawahi wasikia? Magu alisema mwezi huu kwamba historia ya mwanamutapa inamsaidia nini mtanzania? Kilimo cha kakao cha ghana kina msaidia nini mtoto wa Tanzania, majina ya maraisi w Afrika tangu ipate uhuru inawasaidia nini watanzania.
Kwa nini usiwafundishe watoto wajue kuzalisha kakao, kuprocess, markerting ya kakao, product zinazotokana na kakao nk .
Watanzania tufungue vichwa vyetu mbona dunia inaenda kasi sana sisi tuna mambo ya mwaka 60 ? Why are people rigid to change?
 
Kidato cha nne mbali sana, waishie la pili tu inatosha maana kuna watu waliofanikiwa sana na wameishia la pili tu
Mi nashauri watoto wako ndo waishie la pili alafu tutarudi kuwapa majibu wana jf
 
Hakuna mtu aliye Manisha kuwa elimu haina maana ,
Lengo la Mada ni njia za kupata elimu kirahisi na yenye manufaa bila kupoteza muda wa mwanfunzi , na hapo ndipo wenzetu wanatupiga bao,
Mtoto wa Miaka 10 tayari anakuwa ameshaanza ku specialize kwenye Jambo fulani , huku sisi bado mtoto wa umri huo ana madaftari zaidi ya matano, na hajui atachagua nini cha kumsaidia huko mbele ya safari
General knowledge ilipaswa ikomee darasa la saba baada ya hapo watoto waende kwenye specialisation......
sasa huku kwetu mpaka six mtu hajielewi anataka kuwa nani?
lkn pia naona maendeleo ya tec yataua fani nyingi sana ikiwemo fani ya uhasibu
 
Mleta mada nadhani hajajicheck vizuri

Yeye biashara zimemshinda,anataka kwa lazima mtoto wake aje afanye vitu vilivyomshinda yeye

Sio kweli maana mtoto hua anfanya vitu kwa mfano hasa kutoka kwa mzazi wake

Yeye hana huo mfano,eti anataka kumlazimisha mtoto afate mifano ambayo yeye mwenyewe ilimshinda

Kuna tatizo......

Na pia nadhani mleta mada anashindwa kuelewa,anadhani biashara nayo inahitaji watu ambao hawajasoma,thats the big mistake anajitafutia

Asione watu kadhaa ambao hawajasoma na wamefanikiwa kwenye biashara akadhani ni rule of the game kumbe ni exception of the rule
Hebu soma vizuri uzi wangu sijasema watu waishie form 4 wafanye biashara rudi kusoma utaelewa.
 
General knowledge ilipaswa ikomee darasa la saba baada ya hapo watoto waende kwenye specialisation......
sasa huku kwetu mpaka six mtu hajielewi anataka kuwa nani?
lkn pia naona maendeleo ya tec yataua fani nyingi sana ikiwemo fani ya uhasibu
Umecomment vizuri sana kiasi kwamba kwa mvivu wa kusoma uzi mrefu kama huu akipitia comment hii anakuwa kama kapitia summery ya uzi mzima.
 
Kama hawajasoma wamejuaji kila kifaa cha gari kinavyofanya kazi na changamoto zake? Hauoni sasa kama hao ni wababaishaji tu?
Kuna informal education (Elimu isiyo rasmi imejikita zaidi kwa practical stuffs).

Unapata Gari, engine unaifungua ukiangalia kila kitu kinavyofanya kazi. Baadaye unairudisha, kwa sasa ni rahisi zaidi sababu tuna video, camera. Ndivyo wachina walivyoelendea.
 
Kuna informal education (Elimu isiyo rasmi imejikita zaidi kwa practical stuffs).

Unapata Gari, engine unaifungua ukiangalia kila kitu kinavyofanya kazi. Baadaye unairudisha, kwa sasa ni rahisi zaidi sababu tuna video, camera. Ndivyo wachina walivyoelendea.
Ndio kusoma kwenyewe huko
 
Sisi tuna karakana kubwa sana ya vichwa vya treni ukanda huu mbona tumeshindwa kufanya walau kama hao Nigeria na tuna wahandisi kibao katika discipline ya Mechanical, Electrical, Tehama n.k mpaka kuleta wageni tena nao wanatumia vibarua tu.

Tuwe wazi wahandisi wetu wengi japo si wote wanapendelea kuwa tu ma project manager.

Kuna ma field engineer kama Mr. Thom, Paul n.k niliwahi fanya nao kazi wametoka Illinois marekani ni wahindisi ila Wana balaa we technician humdanganyi kitu.

Huku nyinyi fundi gereji tu anakudanganya piston rings za gari yako imekwisha na anakupiga na ni msomi wa Automobile engineering... Aise!!!
Mkuu umemaliza kila kitu, elimu yetu inazalisha wataalamu kwa ufaulu tu lakini ujuzi ni butu. Bahati mbaya wataalamu Hawa butu hupata positions kubwa kubwa na influence ya vyeo vyao hufanya wasishaurike tena .
 
Back
Top Bottom