Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,221
- 28,666
Ndo ivo,umri ni number tuSasa si ndio mpaka ajichakaze, ila kama anajua kujitunza mbona fresh tu ..
Ndo ivo,umri ni number tuSasa si ndio mpaka ajichakaze, ila kama anajua kujitunza mbona fresh tu ..
Yatakayo kupata usiseme hukuambiwaWanajamvi habarini! Natumai mpo sawa waziii?
Naomba niende kwenye mada, mimi ni kijana ambaye bado natafuta na nimefanikiwa kiasi cha kuoa.
Ninataka kuoa mtu mzima, je, nitakuwa nakosea? Nimefikira sana uamuzi huu!