Nimepanga kuacha kazi kisha kwenda kujiendeleza kimasomo

Hello mimi ni kijana mtanzania nina mwaka kwenye ajira ya serikalini but miaka 3 before nilifanya kazi private sector natamani nijiendeleze ila kutokana na mkwamo wa ajira za serikali itanibidi nisubiri mpaka 2024 ,, ndo nipate nafasi

Mwaka 2024 nitakuwa na miaka 32 , kozi nnayopenda kusoma ni 6yrs kumaliza itakuwa ni 2031

Kipi bora niache kazi nikasome mapema ila nikirudi ,na ganga private ,au nikomae
Una Insurance ya kufika 2024?
 
Back
Top Bottom