Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu mara nyingi ni mikumi usije kuongozana nae kupitia mikumi trouble is inevitable!.Nilivoona tittle nikajua tu utakuwa ni wewe umeandika uzi huu. Huwa nacheka sana kwa nyuzi zako
Mkuu una nyumba hapo mikumi barabarani au? Maana kila siku mikumi hufiki unapokwenda pia hatujui una kwendaa au unarudi?wakuu jana nilipambana na nyati ana kwa ana pale mikumi, nilikua mikumi nabadili tairi la gari ghafla akanizukia ndipo pakatimka vumbi, nyati ni kifo usiombe uingie kwenye 18 zake, cha ajabu nilishinda fight na nyati akatimua mbio
Umeuaaaaitakua nyati uyu ambae anafanana na konyag na hyo mikumi itakua ya pale magomen