Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,346
Wakuu habari zenyu?
Leo usiku nikiwa nimelala nikajikuta naota kuwa mgombea ubunge kwenye jimbo la TL kupitia chadema kapigwa chini na tume baada ya kuambiwa kakoswa sifa za kugombea, mara nikaona mgombea anasema kuwa tutaenda mahakamani ili haki ipatikane, haiwezekani mtu nimejaza form zote alafu niambiwe Sina sifa.
Badae nikaona mkurugenzi wa halmashauri ya ikungi bwana kijazi akimtangaza mgombea kupitia chama changu cha ccm kuwa kashinda kwa kishindo.
Kisha nikaona mgombea wa mlengo wa kushoto anaelekea kwa sangoma eti kupigiwa ramli kujua kama ni kweli kakoswa sifa, sangoma akamwmbia wewe hata ungekuwa na sifa zote usingeshinda hata ukatambikie mizimu ya kwenyu.
Jamaa akiwa anarudi toka kwa sangoma akasikika akisema ccm oyeee ccm oyeee .
Mnajengewa kituo cha afya cha sepuka alafu mchague mpinzani?? Alisikika jamaa akisema hivyo.
Badae nikastuka usingizin eeh kumbe kumbe kumekucha.
Leo usiku nikiwa nimelala nikajikuta naota kuwa mgombea ubunge kwenye jimbo la TL kupitia chadema kapigwa chini na tume baada ya kuambiwa kakoswa sifa za kugombea, mara nikaona mgombea anasema kuwa tutaenda mahakamani ili haki ipatikane, haiwezekani mtu nimejaza form zote alafu niambiwe Sina sifa.
Badae nikaona mkurugenzi wa halmashauri ya ikungi bwana kijazi akimtangaza mgombea kupitia chama changu cha ccm kuwa kashinda kwa kishindo.
Kisha nikaona mgombea wa mlengo wa kushoto anaelekea kwa sangoma eti kupigiwa ramli kujua kama ni kweli kakoswa sifa, sangoma akamwmbia wewe hata ungekuwa na sifa zote usingeshinda hata ukatambikie mizimu ya kwenyu.
Jamaa akiwa anarudi toka kwa sangoma akasikika akisema ccm oyeee ccm oyeee .
Mnajengewa kituo cha afya cha sepuka alafu mchague mpinzani?? Alisikika jamaa akisema hivyo.
Badae nikastuka usingizin eeh kumbe kumbe kumekucha.