Johnny Sins
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 2,538
- 3,826
Nimeota kuwa upande wa serikali umefanikiwa kumfikisha Idris Sultan mahakamani na kumsomea mashitaka matatu.
1. Kukalia kiti cha Rais!
2. Kumvalisha Rais nguo za ki-BITOZI au ki-CHEKIBOB!
3. Kumkata kichwa Rais
Mashtaka yaliposomwa, Hakimu alitaka kuchanganyikiwa, akapekuapekua nyaraka huku anatingisha kichwa. “Si mlisema ni “CYBERCRIME, kumbe ni MURDER?”, akauliza.
Mwendesha mashitaka akajibu, “Ndiyo mheshimiwa, yote hayo matatu ameyafanya mtandaoni”
Mheshimiwa hakimu akazidi kushangaa akitingisha kichwa, mawakili 36 wa serikali nao wakaanza kunong’onezana.
“Jamani naombeni muwe serious!”, hakimu akaomba.
Mawakili wakainama kunong’onezana tena halafu mwendesha mashtaka akasimama na kutangaza, “Mheshimiwa, ni cybercrime ila nimeambiwa upelelezi haujakamilika. Kutokana na unyeti wa kesi hii, tunaomba mtuhumiwa asipewe dhamana mpaka upelelezi utakapokamilika!”
Credit: james GAYO
1. Kukalia kiti cha Rais!
2. Kumvalisha Rais nguo za ki-BITOZI au ki-CHEKIBOB!
3. Kumkata kichwa Rais
Mashtaka yaliposomwa, Hakimu alitaka kuchanganyikiwa, akapekuapekua nyaraka huku anatingisha kichwa. “Si mlisema ni “CYBERCRIME, kumbe ni MURDER?”, akauliza.
Mwendesha mashitaka akajibu, “Ndiyo mheshimiwa, yote hayo matatu ameyafanya mtandaoni”
Mheshimiwa hakimu akazidi kushangaa akitingisha kichwa, mawakili 36 wa serikali nao wakaanza kunong’onezana.
“Jamani naombeni muwe serious!”, hakimu akaomba.
Mawakili wakainama kunong’onezana tena halafu mwendesha mashtaka akasimama na kutangaza, “Mheshimiwa, ni cybercrime ila nimeambiwa upelelezi haujakamilika. Kutokana na unyeti wa kesi hii, tunaomba mtuhumiwa asipewe dhamana mpaka upelelezi utakapokamilika!”
Credit: james GAYO