Wadau, mimi sio mlevi....
Cha kushangaza jana usiku nimeota nakunya bia, nilipata pafu moja ila.....
YAP, VERY IMPORTANT ISSUE, JUST NDOTO TU.Ndoto tu
Kwa ushaur huo utampoteza siku c nyingi....hayo ni matambiko, hzo nazo ni roho zingine zinazotesa wanadamu wakati huu. Ila watu wanajitia ukipofu, matambiko kila siku makazin tunaona yanavotesa watu....Binadamu kama huna elimu ya ulimwengu wa kiroho, basi tumia jicho na akili tu kuona inatosha.Kuna Babu zako walikuwa Wanywaji sasa wanateseka kwa Kiu ilihali koo lako ndio njia pekee ya suruhisho la Kiu yao....
Anza kunywa wazee wakifurahi nawe utatusua.
Mwishoni hapo.....ni maana moja ya ndoto, na ushaur wako umejikita In a physical world, Ukipata tena kaelimu ka Spiritual world urudi kutuwekea hapa tena comrade.Ndoto hiyo umeota kwa sababu kichwani mwako na mawazoni mwako unaichukia sana pombe kiasi cha kwamba hupati picha itawezekanaje itokee unywe pombe haswa ukizingatia ladha yake mbaya labda na athari zake.
Kwa hiyo mawazo hayo ya namna unavyochukia ndo yamekuja usiku kama ndoto ya mtindo huo, ila haina maana yoyote ile ama kuashiria jambo baya maishani mwako.
Zaidi sana we kumbuka tu kuwa ndoto ni matokeo ya mawazo yetu ya mchana.
Bible verses are very complex Roho wa Mungu atuongoze ktk kuielewa.Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo mara kwa mara.
Tim 5:23
Jiulize hapo kwann ndoto imempa kuwa ladha ya bia mbaya.....lazima kuna kitu nyuma ya ndoto ambacho ndicho mwanadamu anatakiwa kukifaham.Ndoto nazo zinadanganya kweli hivi unaotaje kwamba bia ina ladha mbaya!?!?
Na inahitaji very serious prays. ThnxKuota unakula au unakunywa kitu ndotoni,maana yake unaunganishwa kwenye ulimwengu wa kichawi bila ww kujua.
Perfect that.Kwa mujibu wa mafundisho ya Mwl. Mwakasege, ukipewa chakula ndotoni na ukala; unakuwa umeingia katika agano fulani baya katika ulimwengu wa Roho, pia kulala na mwanamke/ mwanamume ndotoni nayo inaashiria mahusiano ya Kimajini na roho wachafu,Hivyo fanya SALA kwa mujibu wa DINI yako