Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,944
Amani iwe nanyi wakuu
Naomba kutafasiliwa maana ya ndoto hii
Leo nimeota nimepanda juu kabisa mlimani
Lakini baada ya kufika juu mlimani niliona tena kuna milima mingine ya juu zaid na zaid japo nami nilikuwa juu sana kwenye mlima mwingine
Lakini nikaona ni ushenzi sana kurud chini yaani nikatamani nibaki huko huko na nikatamani nipande tena na ile milima mingine ya juu zaidi
Na mpaka ndoto inaisha sikurudi chini na moyo wangu uliendelea kutaman nibaki huko huko juu mlimani
Je, ni nini maana ya ndoto hii
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kutafasiliwa maana ya ndoto hii
Leo nimeota nimepanda juu kabisa mlimani
Lakini baada ya kufika juu mlimani niliona tena kuna milima mingine ya juu zaid na zaid japo nami nilikuwa juu sana kwenye mlima mwingine
Lakini nikaona ni ushenzi sana kurud chini yaani nikatamani nibaki huko huko na nikatamani nipande tena na ile milima mingine ya juu zaidi
Na mpaka ndoto inaisha sikurudi chini na moyo wangu uliendelea kutaman nibaki huko huko juu mlimani
Je, ni nini maana ya ndoto hii
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app