Katika ulimwengu wa roho kukatwa mguu ni jambo zito sana - tayari mafanikio yako yanakwenda kukatwa na kuzikwa, ni suala la muda tu !!
Kwa kawaida miguu ndiyo inayokufanya ufanye shughuli zako zote ili kujiletea maendeleo , sasa ukishakatika unakuwa grounded...
Cha kufanya jitahidi ujinasue haraka sana, huyo ni adui ambaye anajiandaa kukumaliza ki-uchumi - Muombe Mungu wako saana kwa maombi na kufunga, ipende familia yako (wazazi, mkeo na wanao) toa zaka na kusaidia yatima, jitahidi usimtendee mtu kitu ambacho wewe ukitendewa hutapenda.
Unakwenda kwenye misukosuko mikubwa ya kimaisha, ila yaonekana utayashinda yote lakini utabaki na alama (miguu mbandia) you wont be the same as before baada ya dhoruba inayokujia kuishinda.
Kwa kawaida miguu ndiyo inayokufanya ufanye shughuli zako zote ili kujiletea maendeleo , sasa ukishakatika unakuwa grounded...
Cha kufanya jitahidi ujinasue haraka sana, huyo ni adui ambaye anajiandaa kukumaliza ki-uchumi - Muombe Mungu wako saana kwa maombi na kufunga, ipende familia yako (wazazi, mkeo na wanao) toa zaka na kusaidia yatima, jitahidi usimtendee mtu kitu ambacho wewe ukitendewa hutapenda.
Unakwenda kwenye misukosuko mikubwa ya kimaisha, ila yaonekana utayashinda yote lakini utabaki na alama (miguu mbandia) you wont be the same as before baada ya dhoruba inayokujia kuishinda.