baharia 1
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 1,255
- 1,268
Habar wakuu,
Leo nimeota nipo sehemu nimekaa ghafla viungo vyangu vikashika ganzi nikadondoka chini nikapoteza fahamu nakuja kushtuka nimekatwa miguu yangu yote miwili nimeekewa miguu yabandia, lakini hailunishtua sana hiyo hali nikawa nafurahia tuuh natembea vizuri nakimbia vzr, naombeni mwenye kujua ufafanuzi tafadhali.
Leo nimeota nipo sehemu nimekaa ghafla viungo vyangu vikashika ganzi nikadondoka chini nikapoteza fahamu nakuja kushtuka nimekatwa miguu yangu yote miwili nimeekewa miguu yabandia, lakini hailunishtua sana hiyo hali nikawa nafurahia tuuh natembea vizuri nakimbia vzr, naombeni mwenye kujua ufafanuzi tafadhali.