Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,086
- 15,958
- Thread starter
- #21
Labda mkuu.. kuhusu kumuwaza ni mara chache ana cross my mind..mara nying huwa namuwaza huyo x wangu mwungne ambae nilimpendaga kisawasawa..yaan huyo ndo nilijifunzia mapenz...baada ya hausgeli kunibikiri .aliyefata ambae ndo first love ndo huyo sasa..huyo tumeachana toka 2012 ila had leo tunawasiliana karib kila siku. Tumetengwa na mabara tu. Ila tunapendana sana na huyo dada .(actuly..nijipakulie minyama)...mim ndo nilimbikiri...Basi punguza kumuwaza, kumbuka ndoto ni matokeo ya fikra zetu