Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 5,303
- 14,171
Hi ni mara ya 3 naoteshwa ndoto kuwa CHADEMA kitakuwa chama tawala katika uchaguzi wa 2025. Nimejaribu kuzipuuza hizi ndoto ila sasa zimekuwa too much,naona umefika wakati wa nchi kuingia katika mikono salama ili safari yetu ya mafanikio ianze rasmi. Je swali sasa ni nani atakaye tuvusha kutoka utumwani, matesoni, kwenye njaa na dhulma mpaka kwenye mafanikio ya kweli yaletayo tumaini? CHADEMA kamwe wasipuuze hizi ndoto zangu wanamuitaji spika wa zamani mh. Job aje kutuvusha hapa tulipo. Haya maono wasiyapuuzie watu wa CHADEMA mtakuja nishkuru baadae! Movements for changes italetwa na mh. Job! People's power italetwa na mh. Job, na nguvu ya umma iko nyuma mh. Job kudai haki zao.