Nimeota napambana na paka mwitu Jeusi la kutisha kwa kupigana nalo kwa muda mrefu. Naomba tafsiri ya hii Ndoto

Ndugu habarini,

Nina matumaini kuwa wazima,Naombeni mnisaidie kunipa maana ya ndoto Nimeiota jana Usiku.

Ipo hivi,niliota napambana na paka mwitu Jeusi la kutisha kwa kupigana nalo kwa muda mrefu baada ya muda yule paka akapotea.

Ndoto nyingine pia niliota kwenye tupo kwenye gari aina ya costa nipo mimi Pamoja na wanafunzi niliomaliza nao miaka hiyo na Abiria wengine Gari ilikuwa inakimbia sana mimi na mwenzangu mmoja tukaruka kupitia dirishan baada ya muda mfupi gari ikapasuka taili na kupata ajali na kudumbikia mtoni. Baada ya Hapo NdotO ikaisha

Hizi zinamaanisha nin? Naomba mnisaidie
Umekuwa ukiwindwa kwenye ulimwengu wa roho na unaelekea umenusurika katika jaribio la kukupiga katika roho. Lakini hii haimaanishi kuwa upo salama, umekoswakoswa tu na usipojipanga vizuri unaweza ukapatikana wakati ujao. Unapaswa kujiweka vizuri na Mungu, ushirikina utakufanya ushambuliwe na waovu kirahisi, achana na ushirikina na mtafute Mungu wa Kweli na nguvu zake utakuwa salama.
 
Bwana mdogo elyamuia huu ushauri hapa chini nahisi unaweza kuwa moja ya ushauri mzuri sana wakati unasubiri kutoka kwa wengine.
Umekuwa ukiwindwa kwenye ulimwengu wa roho na unaelekea umenusurika katika jaribio la kukupiga katika roho. Lakini hii haimaanishi kuwa upo salama, umekoswakoswa tu na usipojipanga vizuri unaweza ukapatikana wakati ujao. Unapaswa kujiweka vizuri na Mungu, ushirikina utakufanya ushambuliwe na waovu kirahisi, achana na ushirikina na mtafute Mungu wa Kweli na nguvu zake utakuwa salama.
 
Umekuwa ukiwindwa kwenye ulimwengu wa roho na unaelekea umenusurika katika jaribio la kukupiga katika roho. Lakini hii haimaanishi kuwa upo salama, umekoswakoswa tu na usipojipanga vizuri unaweza ukapatikana wakati ujao. Unapaswa kujiweka vizuri na Mungu, ushirikina utakufanya ushambuliwe na waovu kirahisi, achana na ushirikina na mtafute Mungu wa Kweli na nguvu zake utakuwa salama.
asante ndugu,ila sijihusishi kabisa na Mambo ya Hiza au kishirikina.Huwa Nakua Mtu wa Maombi SaNa labda ndio inapelekea kuwindwa na hawa Watu Waovu.asante kwa majibu
 
samahani pia NduGu kwani endapo ingetokea NimePigwa kupitia Ulimwengu Huo wa Roho nini kitatokea.?
 
Umekuwa ukiwindwa kwenye ulimwengu wa roho na unaelekea umenusurika katika jaribio la kukupiga katika roho. Lakini hii haimaanishi kuwa upo salama, umekoswakoswa tu na usipojipanga vizuri unaweza ukapatikana wakati ujao. Unapaswa kujiweka vizuri na Mungu, ushirikina utakufanya ushambuliwe na waovu kirahisi, achana na ushirikina na mtafute Mungu wa Kweli na nguvu zake utakuwa salama.
samahani pia NduGu kwani endapo ingetokea NimePigwa kupitia Ulimwengu Huo wa Roho nini kitatokea.?
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom