Wa matejo
Member
- Oct 19, 2018
- 62
- 61
Huwa nina kawaida ya kuacha redio inaimba nyimbo za dini usiku kucha!Usiku wa Leo nimeota nakula nyama iliyokaangwa hata nilipostuka nikakuta redio ilisha zima na sijui nani alizima!Hadi sasa nahisi kuna kitu kimekwa kooni !sielewi nifanyeje!naombeni ushauri wenu!