digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,890
- 14,343
Upi mkuu?Ila dah.. we mshikaji!...hebu tua mzigo huo Basi rafiki yangu
I
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Upi mkuu?Ila dah.. we mshikaji!...hebu tua mzigo huo Basi rafiki yangu
I
Unaujua
Upo?Njoo pmIla dah.. we mshikaji!...hebu tua mzigo huo Basi rafiki yangu😉
I
Wee ulikuwa unaokota matunda bhanaWana jamii habari,poleni na mahangaiko ya dunia,
Ndugu zangu Kuna ndoto nimeota inanifikirisha sana, na niliweweseka mpaka waubavu akaniamsha, nikiwa ndotoni Kuna mtu alinikabidhi maiti ya mtoto lakini kabla ya kuichukua nikalalamika kukataa na kuishiwa nguvu bila kuichukua, ndoto Kama hizi humaanisha nini,au nikawaida nichukulie Kama ndoto tu?
Asanteni wakuu,naomba tupeane uzoefu na hivi vitu.
Sawa boss!Upo?Njoo pm
Kwani yule mmasai aliotaHiyo ni dalili tosha Kwako Ndugu kuwa na Wewe jiandae muda wowote kuanzia sasa utaokota Dhahabu / Almasi kubwa kuliko ile ya Yule Laizer.
Hapana wa stend,huo ndio ukweli.Wee ulikuwa unaokota matunda bhana
mkuu hii avatar mbona ya kwaida tu,vipi inatisha sana?Kwa hii avatar yako mkuu utashindwaje kuota ndoto za aina hiyo?
Inaogofya kakamkuu hii avatar mbona ya kwaida tu,vipi inatisha sana?