Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,424
- 85,868
Nilikua nae mchana wa leo, maongezi yetu yalianza kwa kulaumiana kwa nini niwe UKAWA! Nikamweleza nae akanieleza yafuatayo.
Moja, wameongezewa posh mara 100% na hivyo haoni sababu ya kutokujihusisha na mipango haramu ya kuiba kura.
Pili, wametawanywa kila mkoa na kwa Dar wako kila mahali, wamepangiwa vyumba kila kona ya jiji na kwamba wana vitambulisho vya "kiraia ". Kwa haraka huwezi kuwatambua ila wapo tuko nao na si ajabu hata ulipo uko nao!
Tatu, jana waliiitwa na Jamaa mahali na amewaahidi vyeo tena vyeo na magari ili wafanye hio kazi iliyowaleta huku mikoani.
Nimemuuliza swali, je uko tayari nchi yako iingie kwenye machafuko ili kulinda maslahi yako ya ahadi na ya watu wachache? Amesema Ndio yuko tayari. Nimeshtuka na nimeogopa.
Baada ya maongezi yetu amekubali kwa shingo upande kuwa atakua pamoja nasi, huyu ni mmoja tu kati ya wengi!
Nimeongea nae, anawasalimia. Tuiombee nchi yetu. Wametumwa kazi moja tu kufanya juu chini mkubwa wao ashinde!
Moja, wameongezewa posh mara 100% na hivyo haoni sababu ya kutokujihusisha na mipango haramu ya kuiba kura.
Pili, wametawanywa kila mkoa na kwa Dar wako kila mahali, wamepangiwa vyumba kila kona ya jiji na kwamba wana vitambulisho vya "kiraia ". Kwa haraka huwezi kuwatambua ila wapo tuko nao na si ajabu hata ulipo uko nao!
Tatu, jana waliiitwa na Jamaa mahali na amewaahidi vyeo tena vyeo na magari ili wafanye hio kazi iliyowaleta huku mikoani.
Nimemuuliza swali, je uko tayari nchi yako iingie kwenye machafuko ili kulinda maslahi yako ya ahadi na ya watu wachache? Amesema Ndio yuko tayari. Nimeshtuka na nimeogopa.
Baada ya maongezi yetu amekubali kwa shingo upande kuwa atakua pamoja nasi, huyu ni mmoja tu kati ya wengi!
Nimeongea nae, anawasalimia. Tuiombee nchi yetu. Wametumwa kazi moja tu kufanya juu chini mkubwa wao ashinde!