Nimeondolewa Payroll

Posho City

JF-Expert Member
Mar 15, 2012
646
415
Wadau mimi ni mwalimu wa halmashauri moja hapa Tz.nimeajiriwa kama mwalimu wa stashahada.Baadae niliomba kwenda kusoma nikanyimwa ruhusa ila nkaona si busara kupoteza fursa.
Nilipoondoka mkurugenzi kazuia mshahara wangu na nilipohitimu 2012.nikakuta wameshaniondoa kwenye payroll.
Tangu 2012 ninahangaika nirudishwe payroll ila hadi leo kila siku danadana.
Sasa naombeni ushauri maana kuna aliyeniambia kuwa ukishaondolewa payroll unaweza kuanza ajira upya bila tatzo.
Je nianze upya ajira?
 
Pole kwa usumbufu unaopata »»» kama unaona hutapoteza sana ni bora uanze upya kuepusha hizo longolongo
 
Anza upya mbona ndio poa tuu....hivI kufutwa payroll ni rahisI kiasi hicho..me nasikiaga ukiungia umeingia
 
wadau mimi ni mwalimu wa halmashauri moja hapa tz.nimeajiriwa kama mwalimu wa stashahada.baadae niliomba kwenda kusoma nikanyimwa ruhusa ila nkaona si busara kupoteza fursa.
Nilipoondoka mkurugenzi kazuia mshahara wangu na nilipohitimu 2012.nikakuta wameshaniondoa kwenye payroll.
Tangu 2012 ninahangaika nirudishwe payroll ila hadi leo kila siku danadana.
Sasa naombeni ushauri maana kuna aliyeniambia kuwa ukishaondolewa payroll unaweza kuanza ajira upya bila tatzo.
Je nianze upya ajira?
kuna wajanja wanatafuna pesa zako.
 
Wadau mimi ni mwalimu wa halmashauri moja hapa Tz.nimeajiriwa kama mwalimu wa stashahada.Baadae niliomba kwenda kusoma nikanyimwa ruhusa ila nkaona si busara kupoteza fursa.
Nilipoondoka mkurugenzi kazuia mshahara wangu na nilipohitimu 2012.nikakuta wameshaniondoa kwenye payroll.
Tangu 2012 ninahangaika nirudishwe payroll ila hadi leo kila siku danadana.
Sasa naombeni ushauri maana kuna aliyeniambia kuwa ukishaondolewa payroll unaweza kuanza ajira upya bila tatzo.
Je nianze upya ajira?


:lock1:anza upya katafute kazi private!!!:bange:
 
Pole kwa usumbufu unaopata »»» kama unaona hutapoteza sana ni bora uanze upya kuepusha hizo longolongo

ahsante mkuu sidhani km ntapoteza sana maana nimeanza kazi 2008 hadi 2011 waliponiondoa payroll.hela ya pension ntakayopoteza haizidi milioni tano.
Na kwa umri nilionao ntastaafu mwaka 2043 kwahyo nina miaka zaidi ya ishirini ya kutumika kama ntakuwa hai.
 
ahsante mkuu sidhani km ntapoteza sana maana nimeanza kazi 2008 hadi 2011 waliponiondoa payroll.hela ya pension ntakayopoteza haizidi milioni tano.
Na kwa umri nilionao ntastaafu mwaka 2043 kwahyo nina miaka zaidi ya ishirini ya kutumika kama ntakuwa hai.

Hebu ngoja tusaidiane kitu..mm nna watu nawajua waliondoka kwa style hiyo hiyo kilichotokea waomba kazi kwingine na wakapata tatizo likaja mshahara hawajapata mwaka sasa...kisa nn walikua govt mwanzo so payroll majina yao yapo..mwajiriwa mpya yy hana shida..shida inakuja hazina....sasa sijui itakuwaje na ss hivi system ni ngumu sana nasikia
 
  • Thanks
Reactions: SG8
tuwasiliane kwa PM nitakushauri. naweza nikakushauri kuhusu namna ya jurudi kazini. tunaweza tukakuambia uanze tena then ukapangiwa location mbaya usiyoipenda. I will advicevyou technical know how.
 
Wadau mimi ni mwalimu wa halmashauri moja hapa Tz.nimeajiriwa kama mwalimu wa stashahada.Baadae niliomba kwenda kusoma nikanyimwa ruhusa ila nkaona si busara kupoteza fursa.
Nilipoondoka mkurugenzi kazuia mshahara wangu na nilipohitimu 2012.nikakuta wameshaniondoa kwenye payroll.
Tangu 2012 ninahangaika nirudishwe payroll ila hadi leo kila siku danadana.
Sasa naombeni ushauri maana kuna aliyeniambia kuwa ukishaondolewa payroll unaweza kuanza ajira upya bila tatzo.
Je nianze upya ajira?

Mkuu hujatolewa kwenye payrol isipokuwa umepigwa SP (stop payments) kitu ambacho hata mkuu wako wa idara anaweza kukifanya lkn kwa kushauriana na mkurugenzi na DT kwa maana ya kitengo cha mishahara.

Kufutwa kwenye payrol ya serikali si rahisi kiasi hiccho maana kama ni tatizo basi kuna vikao vya nidhamu ambavyo vinakaa na kwa kuwa ww ni wa local govt basi full council ndiyo hutia baraka kufutwa kwako kwenye payrol lkn baada ya vikao ambavyo wewe pia ungeweza kujitetea.

fuatilia ujjue kama hiyo ni adhabu au watu wameamuua kupiga SP na kuchezea mshahara wako kwa kuuingiza kwenye akaunti yya amana na inawezekana mshahara wako umesaidia kununua mafuta ya mbio za mwenge wilayani kwenu.

Fuatilia nakwambia. usishau kuurudisha feedback!
 
mkuu nimefatilia hadi hazina kuu hapa Dar.nilichokuta huko ni kwamba pale hazina niliongea na mtu coz hawaruhusu kwenda pale kuulizia salary slip.nkamwambia anipatie salary slip zangu za mwaka jana zote.alichokisema ni kuwa salary slip ya mwisho kuonekana ni ya August.kuanzia September akiingiza cheque number inagoma that means nimefutwa.
Lakini mkuu siku hizi watu wanaondoana payroll kienyeji sana na mifano ninayo kibao.
 
Hebu ngoja tusaidiane kitu..mm nna watu nawajua waliondoka kwa style hiyo hiyo kilichotokea waomba kazi kwingine na wakapata tatizo likaja mshahara hawajapata mwaka sasa...kisa nn walikua govt mwanzo so payroll majina yao yapo..mwajiriwa mpya yy hana shida..shida inakuja hazina....sasa sijui itakuwaje na ss hivi system ni ngumu sana nasikia

mkuu hapa ninapoongea ni juzi jumatatu nilikuwa hazina hapa Dar wakanieleza kuwa salry slip yangu ya mwisho pale ni ya August kuanzia septemba cheque no yangu haipo
 
kuna ndugu yangu aliacha kazi ya ualimu serikalini 2012 September..akaenda kusoma masterz ,,tangu hapo mshahara umekuwa hauingii...mwaka huu amepata kazi za tume ya utumishi izi za juzi chuo flani..ila ameshindwa kupewa kazi japo alipas usahili jina lake limeonekana bado lipo hazina ni mwajiriwa serikalini na mshahara wake unatumwa halmashauri ya lindi kila mwezi.. so tuwe waangalifu na jinsi ya kuacha kwetu kazi jamaa kapoteza bahati as angekuwa na kazi nzuri saiv anaangaika coz anataka kubadili fani arudi serikalini upya inakuwa ngumu kuajirika bd jina linasoma
 
Hivi serikali inafanya uhakiki kila baada ya mda gani.?? Maana huu ni uzembe
Wanatuma mishahara buree
 
Mkuu mimi ishu yangu tofauti hazina nshaenda jina langu halisomi tena tangu August.
 
tuwasipayrollane kwa PM nitakushauri. naweza nikakushauri kuhusu namna ya jurudi kazini. tunaweza tukakuambia uanze tena then ukapangiwa location mbaya usiyoipenda. I will advicevyou technical know how.
Mambo,naomba nisaidie juu ya hili namimi,kutolewa kwa payroll toka2014 kwa ccta angu ,but akajiendeleza now kahitmu degree je atachomoka kweli au aombe kibalikwa ktbu mkuu atumie cheq namba ya awali,au kwa uhkki huu wa jpm atakuwa amefuta kote kwa p
payroll had kwa lawson system ,msaada maana shemeji now yupo majalala
 
Mkuu mpayrollimi ishu yangu tofauti hazina nshaenda jina langu halisomi tena tangu August.
Mambo posho city,nisaidie na mimi my ccta alitolewa kwa payroll na kufutwa kazi bila utumishi sasa anatAka kurudi amemaliza chuo mwaka hyu je aombe upya kama kyna mbinu ili asijulikane ka ndiye kwa kuweka initial name,au aombe kibali katbu mkuu na process miaka miangpi ,au kwa uhakiki wa mwaka huu jpm atakuwa awafuta kabisa hd kwa lawson
 
Mkuu hapo juu....kufutwa kazi bila utumishi sio kuwa basi wanakufuta na huonekani tena....Pale utumishi kila kitu kina status yake....alofukuzwa...alokufa....alostaafu...aloacha kazi kwa kibali..nk.....Kwahyo yeye atakuwa ana status inayoonesha kafukuzwa....
Kwa uzoefu wangu aombe kibali kwa chief secretary tu....minimum inachukua mwaka na nusu ila kwa sasa ndo navyo vimesitiahwa
 
Mambo,naomba nisaidie juu ya hili namimi,kutolewa kwa payroll toka2014 kwa ccta angu ,but akajiendeleza now kahitmu degree je atachomoka kweli au aombe kibalikwa ktbu mkuu atumie cheq namba ya awali,au kwa uhkki huu wa jpm atakuwa amefuta kote kwa p
payroll had kwa lawson system ,msaada maana shemeji now yupo majalala
Pole sana hilo tukio lilimtokea dada yangu mwaka
Wadau mimi ni mwalimu wa halmashauri moja hapa Tz.nimeajiriwa kama mwalimu wa stashahada.Baadae niliomba kwenda kusoma nikanyimwa ruhusa ila nkaona si busara kupoteza fursa.
Nilipoondoka mkurugenzi kazuia mshahara wangu na nilipohitimu 2012.nikakuta wameshaniondoa kwenye payroll.
Tangu 2012 ninahangaika nirudishwe payroll ila hadi leo kila siku danadana.
Sasa naombeni ushauri maana kuna aliyeniambia kuwa ukishaondolewa payroll unaweza kuanza ajira upya bila tatzo.
Je nianze upya ajira?
pole sana hilo tukio lilimtokea dada yang na yy alipata nafas ya kuendelea degree mkurugenz akamuomb ruhusa akakataa ikabidi aende kwa lazima sababu alipata mkopo asilimia mia,alipoenda akapokea mshahara miez miwili baada ya hapo akawa hapati mshahara ila wenzake wakawa wanamwambia slpsrr zako zinaoneka hapo ofisini,so baada ya miaka yake kuisha chuo akaenda kuripot kazini akakuta barua ya kufukuzwa kazi kapewa ila ilionekan kulikuwa na mchezo watu wa halmshaur wanakula mshahara wake na barua ya kazi alipewa bila kuwa na sain yoyote.so ili bidi afatilie dar tamisemi,wakamsaidia so wahusika walichukuliwa hatua na yy akapata Ajira upya,na aliambiwa ili aludishiwe mishahara yake kuna process anatakiwa azipate,ningekushauri ufate taratibu zote ili upate haki yako
 
Back
Top Bottom