matongo manawa
JF-Expert Member
- Apr 6, 2011
- 336
- 79
Kama kunamwandishi aliyeandika makala nyingi za kumshauri Rais Kikwete ni mzee Mayenga,
Nikwasababu hiyo nilipomwona moyo wangu ukanipigia yowe ukisema nenda hata msalimie mzalendo huyu.
Nami nilitii bila kinyongo nilijongea alipokaa eneo la Break point nilimpa heshima yake nikamwambia "
mzee tunashukuru kwa makala kwa kweli tunapata chakula cha kutosha naye akajibu kwa tabasamu pana asnte tunashukuru kwa kutuunga mkono"
Haraka haraka nilichukua gazeti la Tanzania daima,na wiki hii kaandika"Rais wangu Kikwete:Nchi yangu kwanza
iwe salaam ya kitaifa"
Uandishi wake ni ule unaozingatia itifaki ya heshima,lkn kinachonishangaza pamoja na ushauri wake murua kwa
mpendwa raisi hajawahi kusikilizwa ushauri wake,mzee huyu amekuwa akifanya kazi Kama ya kutwanga maji kwenye
kinu.
Je ni lini serikali sikivu ya kinadharia itakuwa sikivu kwa vitendo ili isikie ushauri huu?
Mzee Mayenga songa mbele mbegu unayopanda haipotei bure
kama si leo itaota kesho.
Mungu akufungilie zaidi.
Nikwasababu hiyo nilipomwona moyo wangu ukanipigia yowe ukisema nenda hata msalimie mzalendo huyu.
Nami nilitii bila kinyongo nilijongea alipokaa eneo la Break point nilimpa heshima yake nikamwambia "
mzee tunashukuru kwa makala kwa kweli tunapata chakula cha kutosha naye akajibu kwa tabasamu pana asnte tunashukuru kwa kutuunga mkono"
Haraka haraka nilichukua gazeti la Tanzania daima,na wiki hii kaandika"Rais wangu Kikwete:Nchi yangu kwanza
iwe salaam ya kitaifa"
Uandishi wake ni ule unaozingatia itifaki ya heshima,lkn kinachonishangaza pamoja na ushauri wake murua kwa
mpendwa raisi hajawahi kusikilizwa ushauri wake,mzee huyu amekuwa akifanya kazi Kama ya kutwanga maji kwenye
kinu.
Je ni lini serikali sikivu ya kinadharia itakuwa sikivu kwa vitendo ili isikie ushauri huu?
Mzee Mayenga songa mbele mbegu unayopanda haipotei bure
kama si leo itaota kesho.
Mungu akufungilie zaidi.