Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,257
- 105,389
Yule balozi anasema shule ya Feza inafadhiliwa na magaidi.Sijakuelewa mkuu
Hao magaidi anaowasema ni wapinzani wa kisiasa wa serikali ya Uturuki.
Anachosema balozi ni sawa na baadhi ya watu wa CCM wanavyosema Mbowe ni gaidi.
Ni madai ya kisiasa ambayo hayana ushahidi wa fact.