Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Serikali ya Uturuki ipo vitani kuwasaka wanaodhaniwa kufadhili mapinduzi miaka kadhaa iliyopita. Upo mgogoro mkubwa huko Uturuki na inatamani kuua nguvu za kiuchumi za maasimu wao ambao baadhi ni wamiliki wa Shule ya Feza iliyopo hapa nchini.
Serikali yetu inalo tatizo la kiukombozi, wakati wote Viongozi wetu wamekuwa wanawaza kukomboa watu fulani. Zamani Enzi za Mwalimu tulikuwa wakombozi wa waafrika wenzetu kutoka kwa wakoloni Lakini Sasa tumekuwa wakombozi wa viongozi wa mataifa mengi duniani waweze kuendelea kutawala.
Nimwombe Rais na Waziri wa Mambo ya Nje asiangaike na chokochoko za Waturuki. Kama wanaamini wamiliki wa feza ni wauaji basi wawasilishe hati ya mashtaka kwa mujibu wa Sheria.
Siyo Afya Balozi kukosa adabu na kutumia mitandao kushinikiza interest zao za kisiasa, wafuate sheria
Pia soma:
Serikali yetu inalo tatizo la kiukombozi, wakati wote Viongozi wetu wamekuwa wanawaza kukomboa watu fulani. Zamani Enzi za Mwalimu tulikuwa wakombozi wa waafrika wenzetu kutoka kwa wakoloni Lakini Sasa tumekuwa wakombozi wa viongozi wa mataifa mengi duniani waweze kuendelea kutawala.
Nimwombe Rais na Waziri wa Mambo ya Nje asiangaike na chokochoko za Waturuki. Kama wanaamini wamiliki wa feza ni wauaji basi wawasilishe hati ya mashtaka kwa mujibu wa Sheria.
Siyo Afya Balozi kukosa adabu na kutumia mitandao kushinikiza interest zao za kisiasa, wafuate sheria
Pia soma: