Nimeona nafuu ya moyo wangu ni kukaa kimya

kokudo

JF-Expert Member
Oct 26, 2010
2,537
1,653
Jamani mwenzenu nimeamua kukaa kimya mana najihisi kama jukumu la kupenda nimelibeba mwenyewe mwenzangu cmuelewi cku hz nimejarbu kumvumilia ss nimeshndwa leo cku ya 3 no call no sms nik2ma hajibu nikipga hapokei kisa nimemuuliza alikwenda wapi baada ya kutoka ofcn kwake tatzo hl limekua likijiludialudia jamani je nimefanya kosa kukaa kimya?
 
Mpende mtu kichwa kichwa.....ukipeleka moyo utakufa presha bure
 
Jamani mwenzenu nimeamua kukaa kimya mana najihisi kama jukumu la kupenda nimelibeba mwenyewe mwenzangu cmuelewi cku hz nimejarbu kumvumilia ss nimeshndwa leo cku ya 3 no call no sms nik2ma hajibu nikipga hapokei kisa nimemuuliza alikwenda wapi baada ya kutoka ofcn kwake tatzo hl limekua likijiludialudia jamani je nimefanya kosa kukaa kimya?
Kokudo pole sana. Ni kweli inauma sana jamani. Ah hizo mie ctaki kuzikumbuka mydia, unakonda bila sababu......... na pia siwezijidai nikushauri eti achana naye, akila bati we kula misumari kwa kuwa ni ngumu, si rahic kama tunavyosema.

Kaza moyo, atajirudi baada ya kujiona mtoto
 
Jaribu kutafuta tatizo ni nini, unawza kukuta na yeye ana lake moyoni kuhusu wewe-kaambiwa baya au kahisi kuna baya kutoka kwako, if possible give him time alone, kabla haujafanya maamuzi mazito
 
Jamani mwenzenu nimeamua kukaa kimya mana najihisi kama jukumu la kupenda nimelibeba mwenyewe mwenzangu cmuelewi cku hz nimejarbu kumvumilia ss nimeshndwa leo cku ya 3 no call no sms nik2ma hajibu nikipga hapokei kisa nimemuuliza alikwenda wapi baada ya kutoka ofcn kwake tatzo hl limekua likijiludialudia jamani je nimefanya kosa kukaa kimya?

Huyo ni mumeo au? Kama sio mumeo labda ni bf tu, nakushauri usiwe unamfuatilia sana, jaribu kuwa karibu naye itakusaidia kumjua kwa undani. Hii itakusaidia kuepuka kumfanyia mambo asiyoyapenda na hivyo mtaishi kwa amani mpaka kuoana. Ukienda kichwa kichwa wakati ninyi ni wapenzi wa kawaida, utaishia kutoswa. Usimbane sana mtu wakati hakuna 'marital committment' yeyote kati yenu.

Wakati mwingine, mwanaume huhitaji kubembelezwa ili aweze kuingia 'king' na kuwa mumeo. Upo mdada?
 
Jamani mwenzenu nimeamua kukaa kimya mana najihisi kama jukumu la kupenda nimelibeba mwenyewe mwenzangu cmuelewi cku hz nimejarbu kumvumilia ss nimeshndwa leo cku ya 3 no call no sms nik2ma hajibu nikipga hapokei kisa nimemuuliza alikwenda wapi baada ya kutoka ofcn kwake tatzo hl limekua likijiludialudia jamani je nimefanya kosa kukaa kimya?

Duh! Pole sana bro lakini kukaa kimya sio suluhisho. Kama mnafanya kitu ninyi wawili halafu mkakosa mvuto mliokuwa nao mwanzo, angalieni 7bu na mjaribu kurekebisha hali hiyo.
 
its so confusing kwanza jina lako halijitambulishi wewe ni jinsia gani
jina lenyewe limekaa katikati si mke si mme
 
Kokudo...I remember you! Wewe mwanamke wako si alikutenda? Mlirudiana au ulipata mwingine?
 
wala huna haja ya kutumia akili nyingi kufikiria hakuna mapenz hapo..simply dat..
 
Hapana yani uwezi amini niko karibu nae na akiwa anatoka ofcn kwake ofcn kwangu anapaona najua keshapata mjanja
 
Nipo husna maisha yananipeleka puta kweli sasa nisipokimbizana nayo nitakwama na haya tena yameibuka jamani
 
Back
Top Bottom