FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,035
- 40,700
Pale Kamata kuna daraja la kupitisha treni ya SGR lilikuwa linajengwa (Cable stayed bridge) ambapo ile minara miwili inayoshika waya (cables) ilishakamilika.
Ila cha kushangaza, jana nilipopita pale nimekuta mnara mmoja ukiendelea kuvunjwa, kwa mnaofahamu, nini kinaendelea?
==================================
Update: 12/10/2020
Ila cha kushangaza, jana nilipopita pale nimekuta mnara mmoja ukiendelea kuvunjwa, kwa mnaofahamu, nini kinaendelea?
==================================
Update: 12/10/2020
Nikweli linavunjwa, lilijengwa walipo limaliza tu likapata nyufa sehemu nya kitako baada ya sehemunitakayo pita reli, walikosana sana na msimamizi wa mradi hata injinia aliyesimamia ujenzi hapo alishafukuzwa.
Wakakubaliana waendelee na kazi nyingine hapo wata parudia.