Nimeona daraja la waya (cable stayed bridge) la SGR Kamata likivunjwa, shida nini?

Pale Kamata kuna daraja la kupitisha treni ya SGR lilikuwa linajengwa (Cable stayed bridge) ambapo ile minara miwili inayoshika waya (cables) ilishakamilika.

Ila cha kushangaza, jana nilipopita pale nimekuta mnara mmoja ukiendelea kuvunjwa, kwa mnaofahamu, nini kinaendelea?
Nikweli linavunjwa, lilijengwa walipo limaliza tu likapata nyufa sehemu nya kitako baada ya sehemunitakayo pita reli, walikosana sana na msimamizi wa mradi hata injinia aliyesimamia ujenzi hapo alishafukuzwa.
Wakakubaliana waendelee na kazi nyingine hapo wata parudia.
 
Pale Kamata kuna daraja la kupitisha treni ya SGR lilikuwa linajengwa (Cable stayed bridge) ambapo ile minara miwili inayoshika waya (cables) ilishakamilika.

Ila cha kushangaza, jana nilipopita pale nimekuta mnara mmoja ukiendelea kuvunjwa, kwa mnaofahamu, nini kinaendelea?

Kama kuna mtu ulimuuliza ulipoona wameanza kuujenga, kamuulize huyo huyo!
 
Mkuu una uhakika na ukisemacho?! Baada ya kusoma hii thread nimepita pale leo hii. Lile daraja halikuwa limeisha. Ile section ambayo chini ndio magari yanapita kulikuwa na beams sio zege. Na nimepita leo walichoondoa ni zile beams tu. Sijui kwanini ila kilichoondolewa sio zege.
Cc FRANCIS DA DON
Kwa kumbukumbu zangu za uhakika kabisa, ule mnara wa kushika waya ulishakamilika, ila wameuondoa ule mnara.
 
Ok, Kesho nenda tena eneo lile lile, pale kwenye beam ya kwanza kati ya mbili zinazobeba daraja, ukitokea station kwa juu,simama upande wa Goldstar na uangalie kwa makini tofauti iliyopo ukilinganisha na sehemu nyingine zilizokwisha jengwa.
Halafu ‘beam’ ni horizontal member, ninachozungumzia ni zile ‘cable towers’ ambazo ni vertical components za daraja, ile tower moja ya kushika waya ndio niliona imevunjwa
 
Nikweli linavunjwa, lilijengwa walipo limaliza tu likapata nyufa sehemu nya kitako baada ya sehemunitakayo pita reli, walikosana sana na msimamizi wa mradi hata injinia aliyesimamia ujenzi hapo alishafukuzwa.
Wakakubaliana waendelee na kazi nyingine hapo wata parudia.
Kumbe
 
Back
Top Bottom