Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,125
- 8,231
Mkuu hata muda (Time factor) usipouzingatia hasa kwenye masuala ya uhandisi ni HASARA.
So hasara zipo pande zote,kwa serikali na kwa mkandarasi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hata muda (Time factor) usipouzingatia hasa kwenye masuala ya uhandisi ni HASARA.
Yaani jamaa ana roho ya kichawi, nchi yake lakini hataki kuona ikisonga mbele, sijui ni nini hiki?Dah...huu ndiyo ujinga mkubwa unaotutafuna na kuturudisha nyuma...hasa sisi Waafrika
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkandarasi mbobezi huwa anafanya calculations plus muda utakaotumika kufanya marekebisho, huwa hatuhesabu siku na muda wa kufanya kazi pekee bali pamoja na kuweka tahadhari ya kushughulikia yasiyoonekana yatakayojitokeza.Vipi kuhusu delays za mradi?
Ni kweli lakini inategemea na kasi ya mkandarasi.Mkuu hata muda (Time factor) usipouzingatia hasa kwenye masuala ya uhandisi ni HASARA.
So hasara zipo pande zote,kwa serikali na kwa mkandarasi.
Pale Kamata kuna daraja la kupitisha treni ya SGR lilikuwa linajengwa (Cable stayed bridge) ambapo ile minara miwili inayoshika waya (cables) ilishakamilika.
Ila cha kushangaza, jana nilipopita pale nimekuta mnara mmoja ukiendelea kuvunjwa, kwa mnaofahamu, nini kinaendelea?
Unakula hasara, hakuna namna.Ukikosea msingi ina bidi ufanyeje kama unajenga gorofa.engineer over
Ukijua kujenga jua na kubomoaPale Kamata kuna daraja la kupitisha treni ya SGR lilikuwa linajengwa (Cable stayed bridge) ambapo ile minara miwili inayoshika waya (cables) ilishakamilika.
Ila cha kushangaza, jana nilipopita pale nimekuta mnara mmoja ukiendelea kuvunjwa, kwa mnaofahamu, nini kinaendelea?
Unaweza ukaitwa mchochezi wakikuona unapiga picha 😂😂Hakuna picha?
Lissu akipiga picha hapo tukaona nuksi hiyo tumebadili michoroPale Kamata kuna daraja la kupitisha treni ya SGR lilikuwa linajengwa ( Cable stayed bridge) ambapo ile minara miwili inayoshika waya (cables) ilishakamilika.
Ila cha kushangaza, jana nilipopita pale nimekuta mnara mmoja ukiendelea kuvunjwa, kwa mnaofahamu, nini kinaendelea?
Roho mbaya tu, the project will work na roho zenu mbaya mtalipanda tu, ptu. Watu kama mashetani, hiyo ni msaada kwa mamia ya raia, ila sababu amefanya magu mna wish hao watu waendelee kutaabikaThis project will NEVER work because of the blood and theft money and mistreatment of Tanzanians.
Nakumbuka siku moja kwenye mwezi wa saba hivi, nilipita kwenye daraja lile la kuning'inia pale Goldstar, Nilibaini kuwa zege iliyotumika kwenye kipande kile upande ule wa Goldstar ilikuwa ya chini ya viwango, ukilinganisha na maeneo mengine yaliyoisha kujengwa!, Naamini hata mafundi wajenzi waliokuwa juu siku hiyo walinishangaa mimi kwa kulishangaa daraja lile kwa muda. Sikuwa na mahali pa kuhoji ila nilimezea tu.... Kama ulichokiona ni kweli kimetokea, basi niwapongeze kwa kuliona tatizo mapema.Pale Kamata kuna daraja la kupitisha treni ya SGR lilikuwa linajengwa (Cable stayed bridge) ambapo ile minara miwili inayoshika waya (cables) ilishakamilika.
Ila cha kushangaza, jana nilipopita pale nimekuta mnara mmoja ukiendelea kuvunjwa, kwa mnaofahamu, nini kinaendelea?
Umejibu kihandisi mkuu. Kwenye ujenzi kubomoa ni kawaida kwa baadhi ya hatua au vipande fulani katika mradi. Ndio maana kunaundwa vifaa vya kubomolea na pia wahandisi hufundishwa kujenga kitu na kukibomoa pia.Kwenye mradi mkubwa kama huu kubomoa na kurekebisha baadhi ya maeneo ni jambo la kawaida sana. Hongera kwa kufuatilia maendeleo ya mradi huu unaojengwa kwa kutumia kodi za Watanzania wote.
Mkuu una uhakika na ukisemacho?! Baada ya kusoma hii thread nimepita pale leo hii. Lile daraja halikuwa limeisha. Ile section ambayo chini ndio magari yanapita kulikuwa na beams sio zege. Na nimepita leo walichoondoa ni zile beams tu. Sijui kwanini ila kilichoondolewa sio zege.Nakumbuka siku moja kwenye mwezi wa saba hivi, nilipita kwenye daraja lile la kuning'inia pale Goldstar, Nilibaini kuwa zege iliyotumika kwenye kipande kile upande ule wa Goldstar ilikuwa ya chini ya viwango, ukilinganisha na maeneo mengine yaliyoisha kujengwa!, Naamini hata mafundi wajenzi waliokuwa juu siku hiyo walinishangaa mimi kwa kulishangaa daraja lile kwa muda. Sikuwa na mahali pa kuhoji ila nilimezea tu.... Kama ulichokiona ni kweli kimetokea, basi niwapongeze kwa kuliona tatizo mapema.
Ni bridges, siyo cable stayedPale Kamata kuna daraja la kupitisha treni ya SGR lilikuwa linajengwa ( Cable stayed bridge) ambapo ile minara miwili inayoshika waya (cables) ilishakamilika
Ok, Kesho nenda tena eneo lile lile, pale kwenye beam ya kwanza kati ya mbili zinazobeba daraja, ukitokea station kwa juu,simama upande wa Goldstar na uangalie kwa makini tofauti iliyopo ukilinganisha na sehemu nyingine zilizokwisha jengwa.Mkuu una uhakika na ukisemacho?! Baada ya kusoma hii thread nimepita pale leo hii. Lile daraja halikuwa limeisha. Ile section ambayo chini ndio magari yanapita kulikuwa na beams sio zege. Na nimepita leo walichoondoa ni zile beams tu. Sijui kwanini ila kilichoondolewa sio zege.
Cc FRANCIS DA DON
Vertical concrete beam moja nimeona kama imekwanguliwa/kumegwa nafikiri ni katika kuondoa hizo horizontal beams ambazo zilishaungwa au?Ok, Kesho nenda tena eneo lile lile, pale kwenye beam ya kwanza kati ya mbili zinazobeba daraja, ukitokea station kwa juu,simama upande wa Goldstar na uangalie kwa makini tofauti iliyopo ukilinganisha na sehemu nyingine zilizokwisha jengwa.
Holizontal beam moja ikiwa imeishaungwa wakati huo ndio iliyonifanya nishitukie "consistence" yake na "smoothness" yake, sina maneno mbadala ya kiswahili kwa maneno hayo.."...." Ila nikuhakikishie kwa asilimia mia niliona kuwa kuna kitu hakikuwa sawa pale.Vertical concrete beam moja nimeona kama imekwanguliwa/kumegwa nafikiri ni katika kuondoa hizo horizontal beams ambazo zilishaungwa au?