Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,670
Asubuhi kabisa leo wakati ndio kwanza nafungua kiwanda changu cha kuchakata viazi kuwa chipsi,
Nimetiwa mkosi na hawa maofisa wanaopita kwa kila mwenye fremu au kibanda cha biashara wanadai 5K ya mchango wa mwenge,
Yaani ndio ile nimefungua tu kiwanda naosha osha vyombo na kabati sijaanza ata kumenya Viazi yaani ata ile kuuza sahani moja ya kiepe kavu naombwa 5k ya mchango,
Bora ata ungekuwa mchango maybe wa mtu anaumwa yuko hoi au ata msiba.
Kwani kuna Ulazima wa kukimbiza mwenge kila mwaka ilihali serikari haina uwezo wa kumudu gharama kweli.
Note
Nimefunga kiwanda changu nitafungua kesho naona tayari wameshanitia mkosi.
Cc Zero IQ
Nimetiwa mkosi na hawa maofisa wanaopita kwa kila mwenye fremu au kibanda cha biashara wanadai 5K ya mchango wa mwenge,
Yaani ndio ile nimefungua tu kiwanda naosha osha vyombo na kabati sijaanza ata kumenya Viazi yaani ata ile kuuza sahani moja ya kiepe kavu naombwa 5k ya mchango,
Bora ata ungekuwa mchango maybe wa mtu anaumwa yuko hoi au ata msiba.
Kwani kuna Ulazima wa kukimbiza mwenge kila mwaka ilihali serikari haina uwezo wa kumudu gharama kweli.
Note
Nimefunga kiwanda changu nitafungua kesho naona tayari wameshanitia mkosi.
Cc Zero IQ