Yani niliomba second round ..sasa nimerudi kucheki kweny profile nikitaka add program mana nimejaza course nne tu nilipotaka ni add ya tano nambiwa ivo..kwenye profile yang!! kwaiyo inamanisha nimepita second round??
Mkuu hata mm nimeona hivo jana ila leo imerudi kawaida niongeze course 2nd round. Utujuze itakuaje baada ya masaa matatuYani niliomba second round ..sasa nimerudi kucheki kweny profile nikitaka add program mana nimejaza course nne tu nilipotaka ni add ya tano nambiwa ivo..kwenye profile yang!! kwaiyo inamanisha nimepita second round??
Dogo huwezi kufanya lolote tena kwenye profile yako mana tayari umesha chaguliwa so we subiri tu chuo ulicho pangiwaYani niliomba second round ..sasa nimerudi kucheki kweny profile nikitaka add program mana nimejaza course nne tu nilipotaka ni add ya tano nambiwa ivo..kwenye profile yang!! kwaiyo inamanisha nimepita second round??
Mshukuru Mungu mie nimeomba tangu mwezi may na qualification ziko vizuri kabisa na sijapatadah kwel hii one take ...nime omba juz ..jana ndo nimepata ayo
Mkuu njoo kwa pm tupeana namba nina shida tujuzane baadhi ya vituwanasema tyl tumechaguliwa
Poaaanimeuliza tu mkuu mana nilkua sielew elew nime apply juz ..jana nimechaguliwa
Yes na Jana niliwafuata wakaniambia niendelee kusubiri sasa mwisho Leo labda kwa neema ya Munguujapata second rnd??