Kokwa kavu
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 220
- 41
hapa inakuaje maana kata nzima majina yaliyotoka ni dodoso fupi wanajamii ufafanuzi plz!
kua nashukurani kijana watu hatahyo fupi wamekosa
jamani eeeh! tumewachoka na hii ishu ya sensa! mana mara majina hayajatoka! mara dodoso fupi! mara sijui nini! nyie nendeni kwenye semina muingie mtaani kubishana na uamsho sasa!
Acha wivu dogo kama vp kaa pembeni au fumba macho kila ki2 kina wakati wake na hapa ndo sehemu ya kujuzana kila ki2 kama umechoka just sign out waache wa2 waburudike wengne wapo kitaa miaka nenda rudi huwez jua sensa inaweza kuwa mkombozi wao wakapata mtaji wa kuuza vi2 vidogovidogo wakatoka kwenye huu ulimbuken wa kuajiriwa
hata kata ya kawe wametoa vivyo hivyo,lakini ww shukuru hata hiyo fupi umepata kwa sababu sisi wenzako tumeangukia pua.
Si bora yako wewe uliyopata hata hiyo dodoso fupi!!