rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
kuna mabadiliko yametokea ghafla kwenye maisha yangu,labda sala za mke wangu zimeniokoa,nilikuwa teja wa jf kwa kipindi kirefu na hiyo hali iliniletea kutokuelewana na familia yangu hasa mama watoto
lakini nina kama mwezi hali imebadilika yenyewe,nimejikuta uteja kwisha na wakati mwingine nasahau kama kuna jf,namaliza mwezi au weeks bila kufikiria na kufungua jf,,thank you God!
lakini nina kama mwezi hali imebadilika yenyewe,nimejikuta uteja kwisha na wakati mwingine nasahau kama kuna jf,namaliza mwezi au weeks bila kufikiria na kufungua jf,,thank you God!