Nimeoa Nina wiki 4 girlfriend wa zamani (chuoni) nae Ana panga safari aje

Mzee wa kusawazisha

JF-Expert Member
Nov 30, 2016
1,587
1,136
Wakuu nipo njia panda hapa sijui nifanye nini chuoni nilikua na mahusiano na binti wa kinyaturu Miaka mi3 lakni mwaka Jana nimemaliza namwambia twende kwao nikalipe mahari nilijikunjua mwanaume pesa za korosho nikalipe akagoma,, niliondoka chuoni nikamwambia nakupa miez mi4 tafakari nipo sirias..

Wakati huo nilijandaa kisaikolojia mapema nikarusha jiwe bukoba kwa muhaya.. Akaingia king.. Wiki 3 zilizopita nimemvuta kusini huku.. Maisha yameanza Safi..

Sasa yule wa chuoni ndo anasema na yeye anakuja Maana nilimpa ramani ya kwetu tukiwa wapenzi kipindi kile.. Sasa hapa nashindwa nifanye nini,,

Wakuu wenye nidhamu na hekima ushauri wenu.. Mimi mkristo Siwezi oa mitaala.. Karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu nipo njia panda hapa sijui nifanye nini chuoni nilikua na mahusiano na binti wa kinyaturu Miaka mi3 lakni mwaka Jana nimemaliza namwambia twende kwao nikalipe mahari nilijikunjua mwanaume pesa za korosho nikalipe akagoma,, niliondoka chuoni nikamwambia nakupa miez mi4 tafakari nipo sirias..

Wakati huo nilijandaa kisaikolojia mapema nikarusha jiwe bukoba kwa muhaya.. Akaingia king.. Wiki 3 zilizopita nimemvuta kusini huku.. Maisha yameanza Safi..

Sasa yule wa chuoni ndo anasema na yeye anakuja Maana nilimpa ramani ya kwetu tukiwa wapenzi kipindi kile.. Sasa hapa nashindwa nifanye nini,,

Wakuu wenye nidhamu na hekima ushauri wenu.. Mimi mkristo Siwezi oa mitaala.. Karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app
Story zako ziweke kama mtu aliyemaliza chuo kikuu, unaandika utazani udaku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom