Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,587
- 1,136
- Thread starter
- #81
Sasa Kama kwenye Hakuna linaloshindikana hilo limekushinda nn had ulilete humu?
Hawa ndio wanaolalamikaga maisha magumu kumbe wanaendekeza ujinga wenyewe.Umemaliza chuo mwaka jana na kuoa ushaoa
Sawazisha tu Mzee, mbona issue simple tu.
Mwache aje awe mke wa pili.
Umelima miwa karibu na shule mkuuWakuu nipo njia panda hapa sijui nifanye nini chuoni nilikua na mahusiano na binti wa kinyaturu Miaka mi3 lakni mwaka Jana nimemaliza namwambia twende kwao nikalipe mahari nilijikunjua mwanaume pesa za korosho nikalipe akagoma,, niliondoka chuoni nikamwambia nakupa miez mi4 tafakari nipo sirias..
Wakati huo nilijandaa kisaikolojia mapema nikarusha jiwe bukoba kwa muhaya.. Akaingia king.. Wiki 3 zilizopita nimemvuta kusini huku.. Maisha yameanza Safi..
Sasa yule wa chuoni ndo anasema na yeye anakuja Maana nilimpa ramani ya kwetu tukiwa wapenzi kipindi kile.. Sasa hapa nashindwa nifanye nini,,
Wakuu wenye nidhamu na hekima ushauri wenu.. Mimi mkristo Siwezi oa mitaala.. Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app