Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,756
Huyo Mnyaturu mfaulishie kwangu...
Sasa njia panda ipo wapi hapo? Si umeshaoa?Wakuu nipo njia panda hapa sijui nifanye nini chuoni nilikua na mahusiano na binti wa kinyaturu Miaka mi3 lakni mwaka Jana nimemaliza namwambia twende kwao nikalipe mahari nilijikunjua mwanaume pesa za korosho nikalipe akagoma,, niliondoka chuoni nikamwambia nakupa miez mi4 tafakari nipo sirias..
Wakati huo nilijandaa kisaikolojia mapema nikarusha jiwe bukoba kwa muhaya.. Akaingia king.. Wiki 3 zilizopita nimemvuta kusini huku.. Maisha yameanza Safi..
Sasa yule wa chuoni ndo anasema na yeye anakuja Maana nilimpa ramani ya kwetu tukiwa wapenzi kipindi kile.. Sasa hapa nashindwa nifanye nini,,
Wakuu wenye nidhamu na hekima ushauri wenu.. Mimi mkristo Siwezi oa mitaala.. Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu anajua kila kituDaah mkuu umeshindwa kusolve hio issue
Me bro wangu alipooa aliwapigia girlfriends zake wote na kuwaambia kwamba ameoa so anahitaji respect kwenye ndoa yake
So kwa reference hiyo nakushauri hapo statement ni moja tu mwambie kwamba umeoa full stop usianze kujiongelesha ongelesha na kujiuma uma inabidi uact kama mwanaume sasa uvulana weka pembeni
Sent using Jamii Forums mobile app
JIFICHEWakuu nipo njia panda hapa sijui nifanye nini chuoni nilikua na mahusiano na binti wa kinyaturu Miaka mi3 lakni mwaka Jana nimemaliza namwambia twende kwao nikalipe mahari nilijikunjua mwanaume pesa za korosho nikalipe akagoma,, niliondoka chuoni nikamwambia nakupa miez mi4 tafakari nipo sirias..
Wakati huo nilijandaa kisaikolojia mapema nikarusha jiwe bukoba kwa muhaya.. Akaingia king.. Wiki 3 zilizopita nimemvuta kusini huku.. Maisha yameanza Safi..
Sasa yule wa chuoni ndo anasema na yeye anakuja Maana nilimpa ramani ya kwetu tukiwa wapenzi kipindi kile.. Sasa hapa nashindwa nifanye nini,,
Wakuu wenye nidhamu na hekima ushauri wenu.. Mimi mkristo Siwezi oa mitaala.. Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Babu ilo Jina tu Sina jipya hapaMzee wa kusawazisha sasa mbona issue ndogo tu hii unashindwaje kusawazisha
Hapana mkuu wiki 3 ndo dogo nimemvuta hukuNdani ya wiki tatu ukaoa, mbona ni muda mfupi sana au mimi ndiyo sijaelewa?