OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,126
- 24,062
Sasa mkuu wewe unawapa wanawake mimba huko kisha unatowa halafu unataka mke wako azae??Nimeoa mwaka wa tatu huu naenda lakin sijabahatika mtoto mimi na mke wangu.
Mwanzo mkewangu alikua na shida ya uvimbe tukafanya oparataion amekaa sawa kwamjibu wa madaktari sasa tumekua tukilima kwelikweli tupata ki g kama cha majizo na lulu wapi.
Naandika kwa utani ili upate mud ya kusoma lakini ni seriously thing kwahyo hatujapata mimba wala dalili. Tumeshaenda sehem mbalimbali tumedunda, nakumbuka kuna dr mmoja alituita mmoja mmoja ndan nikaulizwa vip nje huna mtoto nilisema ninae nilizaa kabla sijamuoa huyu akauliza hujajaribu nje kujua labda nikakataa.
Lakin nikapata wazo la kujaribu kwasababu nilishapimaga mbegu nikaaambiwa siombaya ila hazina guv saaaana za kuogelea nikachukua jukum ku try out mpaka sasa tumetoa mimba 3 wanawake wa3 tofauti.
Ushauri wenu nifanyeje? Tunahitaji familia.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app