Nominii
Member
- Nov 24, 2022
- 99
- 193
Kutokana na misemo kadhaaa na kupitia baadhi ya nyuzi humu ndani, kuhusiana na jamii hiyo sijaamini nilichokutana nacho.
Nimeoa mwanamke mmoja Mrangi, keupe haswa. Kutokana na wanavyosemwa nimemkuta ni 'og' hajawahi guswa. Kamaliza chuo kikuu ana miaka 24.
Hii ni kigezo tosha kuwa jamii inabadilika ama ndiyo bahati nasibu?
Nimeoa mwanamke mmoja Mrangi, keupe haswa. Kutokana na wanavyosemwa nimemkuta ni 'og' hajawahi guswa. Kamaliza chuo kikuu ana miaka 24.
Hii ni kigezo tosha kuwa jamii inabadilika ama ndiyo bahati nasibu?