mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,432
- 2,892
- Thread starter
- #41
Amini kwambaKwanza hii story siiamini na hizo kasumba zako
Amini kwambaKwanza hii story siiamini na hizo kasumba zako
Usipime endelea kutembelea rimTrue story.
Hapa mjini kwetu bana Nina bahati ya kutembea na wadada wauza migahawa na CHAKULA. Nadhani sijui ipoje hii, Kuna aina fulani ya Wanawake ukiwa na upepo nao basi ukimtongoza hatoki (Nikija daslama nitamjaribu shilole)
Basi bwana
Huku na huku, huku na huku, nikafahamiana na mdada flani naye ni muuza msosi ila yeye anafanya kutembeza na gari.
OhoooUsipime endelea kutembelea rim
tupe mrejeshoTrue story.
Hapa mjini kwetu bana Nina bahati ya kutembea na wadada wauza migahawa na CHAKULA. Nadhani sijui ipoje hii, Kuna aina fulani ya Wanawake ukiwa na upepo nao basi ukimtongoza hatoki (Nikija daslama nitamjaribu shilole)
Basi bwana
Huku na huku, huku na huku, nikafahamiana na mdada flani naye ni muuza msosi ila yeye anafanya kutembeza na gari.
Baada ya kutest msosi wake nikaona ni mzuri, nikaendeleza huduma kwa muda wa miezi kadhaa.
Mwezi uliyopita nikaamua kumtongoza. Mwanzoni alionekana kuwa mguuumu. Lakini nikatumia jeki yangu ya kunyanyulia magari makubwa kama alivyo yeye hatimaye akaja akakaa kwenye lain.
Sikuwa na haraka sana ya kuomba pochi kwa kuendelea kumfahamu japo kiundani walau asilimia kadhaa.
Ni mdada flani bonge, mweusi, mpoole kimwonekano, amejazia nyuma (kama ujuavyo Mbeya tena) ana watoto wawili.
Siku MOJA katika mazungumzo ya hapa na pale nikamuuliza vipi mumeo / baba watoto yupo wapi? Akajibu ALIKUFA MWAKA JANA.
Dah nilihuzunika, lakini nikapata woga kidogo kwamba kitu Gani kilimuuwa kaka wawatu huyo.
Dah
Nilianza kuingia upepo na kuanza kupotezea mawasiliano naye, kwakuhofia labda
A. Huenda mzee alikufa kwa ngoma sasa dada naye amepata rasha rasha.
B. Huenda aliuliwa na MWANAUME ambaye naye anampenda huyu Mwanamke.
C. Mambo ya ushirikina.
D. Umri wake umekwisha kama watu wengine.
E. Huenda dada wawatu kutokana na kuondokewa na mpendwa wake bado Hana hisia za mapenzi.
Aisee Mwanamke aliyefiwa na mume huwa namuonea huruma Sana lakini pia naogopa Sana kuwa naye kimahusiano. Sijui kwanini.
NILICHOAMUA
Kwakuwa ana watoto wawili na mmoja tayari anasoma, basi nikamwambia kuwa nitakusaidia kuwalea na kumsomesha huyu anayesoma. Hatimaye nilijikuta napata ROHO flani ya huruma..
Nikamlipia dogo ada ya muhula huu mmoja
Sijatembea naye (kufanya naye zinaa) kwa sababu hisia zimekata Kiana.
Kumbe yeye ndio kwanza gari inapiga stata sasa. Mwaka mzima hajaingiliwa hivyo nimeamsha hisia zake za mapenzi.
Jana akaomba kuonana nami angalau tupige stori mbili tatu. Nkamwambia hewalla
Tukaenda mahala kupiga stori kadhaa. Wakati namuaga nikamsindikiza hadi karibu na kwake. Kufika sehemu ambayo Pana uwanja flani wa Mpira na Kuna kiza nikamshika na kumvuta na kumpiga denda flani la muagano.
Daaah .... Baadhi ya Wanawake Wana nyege mbaya Sana hususan kama ana muda mrefu hajasex.
Kilichotokea ni kwamba naomba Mungu tu dada yule awe hajaathirika.
Na sipimi NG'O
Haa ha haha, watu mna mambo khaa