Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 8,440
- 6,478
Ulitakiwa ujue sababu za kifo cha Mumewe lakini huenda akakuambia ukweli au aka kuongopea yote yanawezekana.
Shekh nakushauri kapime mapema tu siku izi wamekuja na strategy mpya ya kuwinda na ni hiyo ya kuuza chakula, husifikiri nia ni kuuza chakula tu anaji market pia ni hatari sana hao viumbe, their one step a head..True story.
Hapa mjini kwetu bana Nina bahati ya kutembea na wadada wauza migahawa na CHAKULA. Nadhani sijui ipoje hii, Kuna aina fulani ya Wanawake ukiwa na upepo nao basi ukimtongoza hatoki (Nikija daslama nitamjaribu shilole)
😂😂😂True story.
Hapa mjini kwetu bana Nina bahati ya kutembea na wadada wauza migahawa na CHAKULA. Nadhani sijui ipoje hii, Kuna aina fulani ya Wanawake ukiwa na upepo nao basi ukimtongoza hatoki (Nikija daslama nitamjaribu shilole)
tena ada ya muhula mzima,MZEE WA KASUMBAMuda mfupi baada ya kupoteza kazi ushapata hela za kulipia mtoto wa mchepuko ada?
Leo ndio nimejua kwanini waliotumbuliwa walikuwa wanazimia
NIMEPOTEZA KIBARUA Binafsi sikuwa muajiriwa serikalini, lakini nilikuwa kibarua katika kampuni flani. Hii ni sehemu ambayo imenilea kwa muda mrefu kiasi kisichopungua miaka mitatu. Hii ndio sehemu ambayo nilikuwa naitegemea kwa asilimia kubwa kulisha familia yangu. Wiki iliyopita kuna mambo...www.jamiiforums.com
labda haya hayatuhusu mkuuMkuu umepata Kazi nyingine?
Si ulifukuzwa na mwarabu juzijuzi sababu ya wizi wa stock ?
Anyway mambo ni mengi
Wewe jamaa utakuwa mtunzi wa hadithi sio bure.True story.
Hapa mjini kwetu bana Nina bahati ya kutembea na wadada wauza migahawa na CHAKULA. Nadhani sijui ipoje hii, Kuna aina fulani ya Wanawake ukiwa na upepo nao basi ukimtongoza hatoki (Nikija daslama nitamjaribu shilole)
Basi bwana
Huku na huku, huku na huku, nikafahamiana na mdada flani naye ni muuza msosi ila yeye anafanya kutembeza na gari.
Baada ya kutest msosi wake nikaona ni mzuri, nikaendeleza huduma kwa muda wa miezi kadhaa.
Mwezi uliyopita nikaamua kumtongoza. Mwanzoni alionekana kuwa mguuumu. Lakini nikatumia jeki yangu ya kunyanyulia magari makubwa kama alivyo yeye hatimaye akaja akakaa kwenye lain.
Sikuwa na haraka sana ya kuomba pochi kwa kuendelea kumfahamu japo kiundani walau asilimia kadhaa.
Ni mdada flani bonge, mweusi, mpoole kimwonekano, amejazia nyuma (kama ujuavyo Mbeya tena) ana watoto wawili.
Siku MOJA katika mazungumzo ya hapa na pale nikamuuliza vipi mumeo / baba watoto yupo wapi? Akajibu ALIKUFA MWAKA JANA.
Dah nilihuzunika, lakini nikapata woga kidogo kwamba kitu Gani kilimuuwa kaka wawatu huyo.
Dah
Nilianza kuingia upepo na kuanza kupotezea mawasiliano naye, kwakuhofia labda
A. Huenda mzee alikufa kwa ngoma sasa dada naye amepata rasha rasha.
B. Huenda aliuliwa na MWANAUME ambaye naye anampenda huyu Mwanamke.
C. Mambo ya ushirikina.
D. Umri wake umekwisha kama watu wengine.
E. Huenda dada wawatu kutokana na kuondokewa na mpendwa wake bado Hana hisia za mapenzi.
Aisee Mwanamke aliyefiwa na mume huwa namuonea huruma Sana lakini pia naogopa Sana kuwa naye kimahusiano. Sijui kwanini.
NILICHOAMUA
Kwakuwa ana watoto wawili na mmoja tayari anasoma, basi nikamwambia kuwa nitakusaidia kuwalea na kumsomesha huyu anayesoma. Hatimaye nilijikuta napata ROHO flani ya huruma..
Nikamlipia dogo ada ya muhula huu mmoja
Sijatembea naye (kufanya naye zinaa) kwa sababu hisia zimekata Kiana.
Kumbe yeye ndio kwanza gari inapiga stata sasa. Mwaka mzima hajaingiliwa hivyo nimeamsha hisia zake za mapenzi.
Jana akaomba kuonana nami angalau tupige stori mbili tatu. Nkamwambia hewalla
Tukaenda mahala kupiga stori kadhaa. Wakati namuaga nikamsindikiza hadi karibu na kwake. Kufika sehemu ambayo Pana uwanja flani wa Mpira na Kuna kiza nikamshika na kumvuta na kumpiga denda flani la muagano.
Daaah .... Baadhi ya Wanawake Wana nyege mbaya Sana hususan kama ana muda mrefu hajasex.
Kilichotokea ni kwamba naomba Mungu tu dada yule awe hajaathirika.
Na sipimi NG'O
Ha ha ha ha ha nimecheka kwa sauti,Wewe jamaa utakuwa mtunzi wa hadithi sio bure.
Ha ha ha ha ha.... kwamba ni nyambari nyangwine sio?Mkuu wewe ni mtunzi mzuri,tena una utunzi wenye kasumba kweli,wacha niongeze sukari kwenye hii gahawa.
Nakufatilia tu nyuzi zako...zimejaa kasumbaHa ha ha ha ha.... kwamba ni nyambari nyangwine sio?
Ngoja nuende jamani.... Sina bayaUmepiga mbichi mkuu na mtu hata hamjapima! Kila rakheri
Afu kijana wawatu ukiniona mstaaraaaabu... ID fake hizi aiseeNakufatilia tu nyuzi zako...zimejaa kasumba
Kwanza hii story siiamini na hizo kasumba zakoNgoja nuende jamani.... Sina baya