"Nilikuwa na Mpenzi, tukabahatika kupata mtoto wa kiume,anakaribia umri wa miaka mitatu mwezi ujao, Kwa muda mrefu nimekuwa nikimwomba mzazi mwenzangu anipe mtoto akakae na wazazi wangu na hatimaye kuanzishiwa shule huko, kwa sababu naamini wazazi wangu watamlea mtoto kwa mazingira (ambayo nimekulia) ambayo mimi naamini ni mazuri kuliko pale kwa wazazi wa mwanamke, Nataka akakae huko hadi hapo nitakapo jipanga tena upya kimaisha, Tumefanya vikao vingi sana na hadi sasa sijafanikiwa kumpata mtoto wangu, naomba ushauri nifanyeje?"
Ni Maneno ya rafiki, ambaye anaomba ushauri, Naamini humu JF kuna wadau wengi wenye upeo wakutosha Binanfsi nimekosa Jibu la kumpa
Ni Maneno ya rafiki, ambaye anaomba ushauri, Naamini humu JF kuna wadau wengi wenye upeo wakutosha Binanfsi nimekosa Jibu la kumpa