Nimenyang'anywa Watoto wangu na moyo unaniuma maana nawataka sanaa

Damu ni Nzito kuliko Maji, km kweli ni wako watakutafuta tu someday..inaweza kua sio leo wala kesho ila watakutafuta tu. Otherwise km una guts nenda kadai watoto wako..wapigie hesabu wakifika 7yrs nenda kawadai.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom