Unyok* wangu ni nini?WEWE NDIO NY*K*...
WANAWAKE HATA HAWANA TATIZO KABISA WALIKUWA SAHIHI KABISA...
CHA KUKUSHAURI TU MTAFUTE GEAH HABIB WA HEKAHEKA...MTAFIKA MPAKA USTAWI...
Nipe namba YAKO nikutumie whatsapp....Sijamaliza hata kusoma... Alie summarize naomba KUDESA
Hapo shida yangu ni nini?KWewe hutakaa uweze kuwa baba,wala usihangaike kuwatafuta
Sikua tayari kuzaa hivyo...Ndio maan bongo kuna vitoto vingiii vinatanga tanga tu! Kila mtu anazaa zaa ovyo, sad!
Tulishamalizana.Mke wa Mjeda kuwa Makini Mura .
Wale jamaa ni hatari sana!!?!
Umeshajiweka kwenye utimilifu na kumvika hatia kila mwanamke uliyemlala, sio mbaya endeleeni tu ila mjue vitoto vinavyosambaa hovyo mijini na vijijini wengi wao ni matokeo ya ninyi msiojua kutumia kondomu na wapenda kuzaa hovyo hovyo.Sikua tayari kuzaa hivyo...
1. Angekubali NIBAKI na dini yangu na yeye yake ningemuoa
2. Angesema mapema ana ukimwi nisingelala nae
3. Angeniambia yeye ni mke wa mtu tungebaki marafiki.
4. Angetulia ningemuoa.
#YNWA
Sina mkuuUna PhD in choosing mkuu?
#YNWA
Usije nizalisha mtoto wa nane... Ukaja kumdai JF...Nipe namba YAKO nikutumie whatsapp...
#YNWA
Heee..!!Usije nizalisha mtoto wa nane... Ukaja kumdai JF...
Wewe ndo umeomba ushauri, umefanya makosa mara 4.....ya kwanza ya pili ya tatu na ya nne. Mimi nimejaribu kukuelekeza kwamba kosa ni la kwako na kama uchaguzi wako ni huo huo wa wanawake dizaini hiyo litajirudia.Hongera YOU HAVE A GOOD TESTING CERTIFICATES.
#YNWA
Ndo pepo hilo kalitoe..litaendelea kukuandamaUmeona sasa...
Katika maelezo yoote we umemuona wa badoo tuu..
Hao wengine vipi?
Yaani umekua only pesmism
1. Yule alisema ukristo ni kafili niwe muislamu wewe unasema niombewe...
Nilitaka kumuoa ila huo udini kama uliouandika hapa ulikatisha malengo ya ndoa.
2. Alinificha status yake ya ukimwi.
Kwanini asingeniambia ili nifanye maamuzi ya kweli.
Na nilitaka kumuoa.
3. Kwanini wake za watu hamsemi ukweli?
Mboo zetu ni tamu kuliko za mume zenu?
Wote hao nilitaka kuwaoa ila KOSA LANGU LIKO WAPI?
#YNWA
hayo ya kwa mwamposa nimechomekea tu maana hata mimi siamini.Wa kwanza aliniambia niwe muislamu wewe unasema nikaombewe....
NANI YUKO SAHIHI?
Yaani nitoe hela yangu nikanunue mafuta ya kula kwa mwamposa kisa kayaombea.
Hiii bagoshaaaa stop religouspreneurship aisee...
#YNWA
We unadhani wanaume sio waongo sio...jaribu kudate nao uje utupe mrejesho. Unatuongelea hivyo kwasababu unatujua..lkn upande wenu huujui tunaujua sie. Ni bahati mbaya tu imetokea kwako.Wanawake punguzeni uongo basiiii...
#YNWA
Suala la dini hata simlaumu huyo dada, na yeye hakuweza kubadili km ambavyo wewe ulivyoshindwa. Umeshajifunza next time dini iwe kigezo cha kwanza ili yasitokee yaliyotokeaNilitaka kulea ila walikimbia kisa dini, ukimwi, mke wa mtu na siwezi oa Malaya.
Tungeelewana Mambo ya dini tungemaliza mapema ila alihusudu dini kuliko mimi.
Mke wa mtu umekuja chuo tukawa pamoja, KWANINI ASINGESEMA MAPEMA KUWA KAOLEWA...
Una ukimwi unaficha ili iweje?
#YNWA
Eeenh nje ya boxUna matatizo makubwa hujijui tu ukute huna uwezo wa kumpa mwanamke mimba
Halafu hajaona tu kama tatizo ni yeye, anatukana wanawake bure tu.Tatizo ni wewe. Na bado mtoto wa 5 utampoteza mwaka huu