Nimenyang'anywa Watoto wangu na moyo unaniuma maana nawataka sanaa

WEWE NDIO NY*K*...

WANAWAKE HATA HAWANA TATIZO KABISA WALIKUWA SAHIHI KABISA...

CHA KUKUSHAURI TU MTAFUTE GEAH HABIB WA HEKAHEKA...MTAFIKA MPAKA USTAWI...
Unyok* wangu ni nini?
1. Kukataa kubadili dini?
2. Kukataa ukimwi
3. Kukataa kuchukua mke wa mtu?
4. Kukataa kuoa Malaya?

WE UNAWEZA?

#YNWA
 
Wewe hutakaa uweze kuwa baba,wala usihangaike kuwatafuta
Hapo shida yangu ni nini?K
Kukataakubadili dini au kukataa ukimwi au kukataa kuchukua mke wa mtu au kukataa kuoa Malaya?

SHIDA YANGU HASA NINI MPAKA SIWEZI KUA BABA?

#YNWA
 
Ndio maan bongo kuna vitoto vingiii vinatanga tanga tu! Kila mtu anazaa zaa ovyo, sad!
Sikua tayari kuzaa hivyo...
1. Angekubali NIBAKI na dini yangu na yeye yake ningemuoa
2. Angesema mapema ana ukimwi nisingelala nae
3. Angeniambia yeye ni mke wa mtu tungebaki marafiki.
4. Angetulia ningemuoa.

#YNWA
 
Sikua tayari kuzaa hivyo...
1. Angekubali NIBAKI na dini yangu na yeye yake ningemuoa
2. Angesema mapema ana ukimwi nisingelala nae
3. Angeniambia yeye ni mke wa mtu tungebaki marafiki.
4. Angetulia ningemuoa.

#YNWA
Umeshajiweka kwenye utimilifu na kumvika hatia kila mwanamke uliyemlala, sio mbaya endeleeni tu ila mjue vitoto vinavyosambaa hovyo mijini na vijijini wengi wao ni matokeo ya ninyi msiojua kutumia kondomu na wapenda kuzaa hovyo hovyo.
 
Hongera YOU HAVE A GOOD TESTING CERTIFICATES.

#YNWA
Wewe ndo umeomba ushauri, umefanya makosa mara 4.....ya kwanza ya pili ya tatu na ya nne. Mimi nimejaribu kukuelekeza kwamba kosa ni la kwako na kama uchaguzi wako ni huo huo wa wanawake dizaini hiyo litajirudia.

Sasa unaanza kunijadili mimi.(My two cents)
 
Nimesoma mpaka mtoto wa 2..yaani inaonekana una masihara sana..nimepatwa hasira,kuna mahal ubongo wako una shida
 
Umeona sasa...
Katika maelezo yoote we umemuona wa badoo tuu..
Hao wengine vipi?
Yaani umekua only pesmism

1. Yule alisema ukristo ni kafili niwe muislamu wewe unasema niombewe...
Nilitaka kumuoa ila huo udini kama uliouandika hapa ulikatisha malengo ya ndoa.

2. Alinificha status yake ya ukimwi.
Kwanini asingeniambia ili nifanye maamuzi ya kweli.
Na nilitaka kumuoa.

3. Kwanini wake za watu hamsemi ukweli?
Mboo zetu ni tamu kuliko za mume zenu?

Wote hao nilitaka kuwaoa ila KOSA LANGU LIKO WAPI?

#YNWA
Ndo pepo hilo kalitoe..litaendelea kukuandama
 
Wa kwanza aliniambia niwe muislamu wewe unasema nikaombewe....

NANI YUKO SAHIHI?

Yaani nitoe hela yangu nikanunue mafuta ya kula kwa mwamposa kisa kayaombea.

Hiii bagoshaaaa stop religouspreneurship aisee...

#YNWA
hayo ya kwa mwamposa nimechomekea tu maana hata mimi siamini.
Kosa lako lingine ni kuanzisha mahusiano na mabinti usio wajua vzr, ingawa wengi tunafanya hivyo lkn wewe mwenzetu naona una mkosi. Sasa ili kupata mke na yasitokee yaliyotokea tafuta mpenzi unae mfahamu kabisa yeye na familia yake...labda itasaidia
 
Wanawake punguzeni uongo basiiii...

#YNWA
We unadhani wanaume sio waongo sio...jaribu kudate nao uje utupe mrejesho. Unatuongelea hivyo kwasababu unatujua..lkn upande wenu huujui tunaujua sie. Ni bahati mbaya tu imetokea kwako.
 
Nilitaka kulea ila walikimbia kisa dini, ukimwi, mke wa mtu na siwezi oa Malaya.

Tungeelewana Mambo ya dini tungemaliza mapema ila alihusudu dini kuliko mimi.

Mke wa mtu umekuja chuo tukawa pamoja, KWANINI ASINGESEMA MAPEMA KUWA KAOLEWA...

Una ukimwi unaficha ili iweje?

#YNWA
Suala la dini hata simlaumu huyo dada, na yeye hakuweza kubadili km ambavyo wewe ulivyoshindwa. Umeshajifunza next time dini iwe kigezo cha kwanza ili yasitokee yaliyotokea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom