Bahalulu
Senior Member
- Dec 21, 2012
- 106
- 23
Umepokea pesa kutoka kwa MKOMBOZI BANK, Kiasi Tsh 2,700,000, Ada 0. Salio lako jipya ni 2,700,000. Kumbukumbu no. CI141122.1310.J00474. Ni mgawo wako wa pesa ya Escrow akaunti mana umeonekana unaongea sana. Kwani hujui kila mbuzi anakula urefu wa kamba yake?
Wakuu me siongelei tena.. nawatakia mapambano mema.
Wakuu me siongelei tena.. nawatakia mapambano mema.