Nimenyamazishwa kuhusu kuongelea ESCROW

Bahalulu

Senior Member
Dec 21, 2012
106
23
Umepokea pesa kutoka kwa MKOMBOZI BANK, Kiasi Tsh 2,700,000, Ada 0. Salio lako jipya ni 2,700,000. Kumbukumbu no. CI141122.1310.J00474. Ni mgawo wako wa pesa ya Escrow akaunti mana umeonekana unaongea sana. Kwani hujui kila mbuzi anakula urefu wa kamba yake?

Wakuu me siongelei tena.. nawatakia mapambano mema.
 
Umepokea pesa kutoka kwa MKOMBOZI BANK, Kiasi Tsh 2,700,000, Ada 0. Salio lako jipya ni 2,700,000. Kumbukumbu no. CI141122.1310.J00474. Ni mgawo wako wa pesa ya Escrow akaunti mana umeonekana unaongea sana. Kwani hujui kila mbuzi anakula urefu wa kamba yake?

Wakuu me siongelei tena.. nawatakia mapambano mema.

Mkuu yaan hukuwa na hata hela ya kulinda akaunti?
 
Umepokea pesa kutoka kwa MKOMBOZI BANK, Kiasi Tsh 2,700,000, Ada 0. Salio lako jipya ni 2,700,000. Kumbukumbu no. CI141122.1310.J00474. Ni mgawo wako wa pesa ya Escrow akaunti mana umeonekana unaongea sana. Kwani hujui kila mbuzi anakula urefu wa kamba yake?

Wakuu me siongelei tena.. nawatakia mapambano mema.

Yaani wewe unavuta 2.7M wakati jamaa zetu hapa JF wanatetea weee asubuhi jioni na wanaambulia Buk 7 kwa Mpesa? Na wao wangepata huo mgawo wa 2.7M sii injekuwa balaa humu JF?
cc MSALANI Simiyu Yetu etc
 
Last edited by a moderator:
Umepokea pesa kutoka kwa MKOMBOZI BANK, Kiasi Tsh 2,700,000, Ada 0. Salio lako jipya ni 2,700,000. Kumbukumbu no. CI141122.1310.J00474. Ni mgawo wako wa pesa ya Escrow akaunti mana umeonekana unaongea sana. Kwani hujui kila mbuzi anakula urefu wa kamba yake?

Wakuu me siongelei tena.. nawatakia mapambano mema.

Vinasigana na profile picture yako,,,,ungetoa kwanza hiyo pc
 
Back
Top Bottom