Nimenusurika kufumwa dakika za mwisho

Hali zenu?

Jamani mwenzenu mume wangu sujawahi mchiti ila yeye nishamfumania mara kadhaa tu.

Basi na mimi nkaamua kuchat na kijana tu yupo nje ya nchi wala sipo in relationship naye ilikua tunachat mambo ya sex tu ila si mpenzi wangu wala chochote na ni mara ya kwanza kiongea na jinsia ya kiume tokea niolewe miaka 8.

Basi akanishtukia alivokuja kuchungulia simu nikafunga mbio simu hapo sasa ndo akashtukia, ila nikagoma kutoa password nkamjibu ni sis wangu tuna mambo yetu hayakuhusu.

Akaniacha ila hajaamini hadi sasa haniongeleshi. Je na wewe ushawahi kunusurika dakika za mwisho? na yule kijana nishamblock sirudii tena.
Kila safari uwa inaanza kwa hatua moja
 
Yani umekuja kuniweka wazi kwenye JF, umeniona boya kiasi hicho, unafikiri nimemalizana na wewe, sasa ndio sikuongeleshi tena mpaka mwaka huu uishe. Na mwaka huu hauishi lazima ntaoa mke wa pili ili ushike adabu.

Halafu hebu kaa na ujiulize yule kijana au ndoa yako, kipi muhimu kati ya hivo viwili???
Aisee nimecheka kweli kweli ....😄😄
 

Similar Discussions

16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom