Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila safari uwa inaanza kwa hatua mojaHali zenu?
Jamani mwenzenu mume wangu sujawahi mchiti ila yeye nishamfumania mara kadhaa tu.
Basi na mimi nkaamua kuchat na kijana tu yupo nje ya nchi wala sipo in relationship naye ilikua tunachat mambo ya sex tu ila si mpenzi wangu wala chochote na ni mara ya kwanza kiongea na jinsia ya kiume tokea niolewe miaka 8.
Basi akanishtukia alivokuja kuchungulia simu nikafunga mbio simu hapo sasa ndo akashtukia, ila nikagoma kutoa password nkamjibu ni sis wangu tuna mambo yetu hayakuhusu.
Akaniacha ila hajaamini hadi sasa haniongeleshi. Je na wewe ushawahi kunusurika dakika za mwisho? na yule kijana nishamblock sirudii tena.
Aisee nimecheka kweli kweli ....😄😄Yani umekuja kuniweka wazi kwenye JF, umeniona boya kiasi hicho, unafikiri nimemalizana na wewe, sasa ndio sikuongeleshi tena mpaka mwaka huu uishe. Na mwaka huu hauishi lazima ntaoa mke wa pili ili ushike adabu.
Halafu hebu kaa na ujiulize yule kijana au ndoa yako, kipi muhimu kati ya hivo viwili???
Mnapigana matukio tu kimya kimya 😂😂😂Hakika kabisaaah, hii principle ni yangu kabisaah, na mahusiano yetu yako vizuri zaidi ya jana.
Ila unataka bwanaako asikufatilie simu yako at the same time🤣🤣🤣Na mie nimewaza hivyo yaan daaah.
Mkuu umenirudisha primary hahaaaaa....Kilimo cha mpira malaya
Kumbe we muhengaMkuu umenirudisha primary hahaaaaa....
Hapo ilikuwa sikosi hilo swali. Hahaaa
muhenga sanaaaaaKumbe we muhenga
Dawa gani limbwata au shuntama?Ni muhimu kulala kwenye chandarua kilichowekwa dawa