Daktari wa minyoo
Senior Member
- May 15, 2019
- 117
- 114
- Thread starter
- #161
Duh! Ilikua ni hapa hapa Zanzibar?!Tena mi natafunaga tu mbele yaoo ,wananitoleaa mijicho tuu ,ila hawathubutuu huo upuuuzi ,juzii nilikuwa napiga tikiti langu mbele ya msikitii na maustadhii kama wotee ,naona kabisa wanamind ila ndo wakujitoa kafaraa anakosekana