Gwajima
JF-Expert Member
- Sep 6, 2018
- 253
- 406
Niliona Tangazo toka TCRA kupitia moja ya vituo vya habari vya Television hapa nchini. Tangazo lilitaka/kusisitiza Watanzania kununua visimbuzi vya Ting, Continental, Digitek na Startimes ili kupata channels za ndani bila malipo.
Nimenunua moja ya visimbuzi hivyo na mpaka sasa sijaona hizo local channels. Nilimsikia pia waziri akizungumza kuwa visimbuzi tajwa hapo juu vingetoa huduma hiyo bure, tena alienda mbali zaidi na kusema tutapokea zaidi ya channels 40 za ndani bila malipo.
Nina maswali mawili tu
1. Waziri na TCRA ni waongo?
2. Ting wameniuzia kisimbuzi kibovu?
Nimenunua moja ya visimbuzi hivyo na mpaka sasa sijaona hizo local channels. Nilimsikia pia waziri akizungumza kuwa visimbuzi tajwa hapo juu vingetoa huduma hiyo bure, tena alienda mbali zaidi na kusema tutapokea zaidi ya channels 40 za ndani bila malipo.
Nina maswali mawili tu
1. Waziri na TCRA ni waongo?
2. Ting wameniuzia kisimbuzi kibovu?