Watery
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 2,720
- 3,456
Hahah huo uchokozi sasa kwa wafuga ndevu
sio kila kitu lazima uelewe boss! if u know u knowmmmh ndo nini mbona sijaelewa!
Kwenye gari yangu?!??Andika kwa utulivu.
Kwani wanampigaga mawe shetanHahah huo uchokozi sasa kwa wafuga ndevu
Andika Kama fuso flani inatokeaga njombe imeandikwa, " Somesha aolewe"
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio ligi tatizo mda
Andika
1. Busara inakuja ukiishiwa pesa
2. Hata bibi alikuwa binti
3. Wapambe kaeni chonjo
4. Ikikukera kaa mbele wewe
5. Piga kelele usipite honi
5. Ukuipenda iga na wewe
6. Sio kila mzee ana busara wengine ni wajinga wameshazeeka
7. Hata kwetu wapo
8. Wahuni sio watu
9. Hata kipofu huota
10. Hawara hana talaka.
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
WAHUNI WOTE PEPONI
Sent from my iPhone using JamiiForums