The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,288
- 16,972
Juzi nimesajili laini ya halotel kwa sababu nina shughuli ya kwenda kufanya vijijini huko nikaambiwa halotel ndio inapatikana huko, sasa ili nisikose mawasiliano ikanibidi kusajili laini ya Halotel.
Baada ya lusajili nikanunua na kifurushi kikubwa cha internet ili nifurahie huduma yao, aisee ni majanga makubwa. Niko hapa Daslam kasi ya internet yao ni ya kinyonga aisee. Sijui ni 2G au 3G ila iko chini sana. Sasa kama hapa Daslam napata kasi ndogo hivi huko bush itakuaje?
Mbadala wa vidacom kwa kasi ya mtandao hapa nchini bado sijaona aisee. Nikitoka bushi hii laini naieeka kabatini.
Baada ya lusajili nikanunua na kifurushi kikubwa cha internet ili nifurahie huduma yao, aisee ni majanga makubwa. Niko hapa Daslam kasi ya internet yao ni ya kinyonga aisee. Sijui ni 2G au 3G ila iko chini sana. Sasa kama hapa Daslam napata kasi ndogo hivi huko bush itakuaje?
Mbadala wa vidacom kwa kasi ya mtandao hapa nchini bado sijaona aisee. Nikitoka bushi hii laini naieeka kabatini.