Rashford Lingard
JF-Expert Member
- Feb 9, 2018
- 938
- 1,149
*148*66#Menu yake mkuu?
Chagua na.2 (Royal bando)
Chagua 10K, 20k, 30k, 40k au 50k. (Zinatofautiana kwenye dakika na zile GB za bonus)
*148*66#Menu yake mkuu?
Vida ni mtandao mpya?Wanaosema spidi ya halotel ni nzuri watumie Vida kisha wajaribu tena kuzungumza
😂😂😂😂😂😂Huko nakotaka kwenda TTCL haijafika bado. Lakini pia review za watu wengi bado hawarecommend ttcl nje ya mji maana hata hapa mjini tu nasikia inaleta shida. Kuna mshikaji wangu yuko Kigamboni anasema akilala chumbani kwake, akilalia ubavu wa kushoto anapata mtandao wa ttcl, akigeuza ubavu wa kulia hakuna mtandao😂
Mkuu mimi nimetumia internet ya Voda kwa miaka zaidi ya mitano ila halotel naona iko vizuri kuliko VodaWanaosema spidi ya halotel ni nzuri watumie Vida kisha wajaribu tena kuzungumza
Ok ngoja nitest*148*66#
Chagua na.2 (Royal bando)
Chagua 10K, 20k, 30k, 40k au 50k. (Zinatofautiana kwenye dakika na zile GB za bonus)
Jaribu kuitumia ukiwa kwenye chombo cha moto kama piki piki ama baiskeli kwenye mteremko mkali ili kuongeza kasi ya mtandao!Juzi nimesajili laini ya halotel kwa sababu nina shughuli ya kwenda kufanya vijijini huko nikaambiwa halotel ndio inapatikana huko, sasa ili nisikose mawasiliano ikanibidi kusajili laini ya Halotel.
Baada ya lusajili nikanunua na kifurushi kikubwa cha internet ili nifurahie huduma yao, aisee ni majanga makubwa. Niko hapa Daslam kasi ya internet yao ni ya kinyonga aisee. Sijui ni 2G au 3G ila iko chini sana. Sasa kama hapa Daslam napata kasi ndogo hivi huko bush itakuaje?
Mbadala wa vidacom kwa kasi ya mtandao hapa nchini bado sijaona aisee. Nikitoka bushi hii laini naieeka kabatini.
Mi ndio natumia sahivi, nimewapumzisha Zantel kidogo, maisha ni matamu tu. Youtube sikwami*148*66#
Chagua na.2 (Royal bando)
Chagua 10K, 20k, 30k, 40k au 50k. (Zinatofautiana kwenye dakika na zile GB za bonus)
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 we jamaa punguza basi ucenge, nimecheka kinoma.Jaribu kuitumia ukiwa kwenye chombo cha moto kama piki piki ama baiskeli kwenye mteremko mkali ili kuongeza kasi ya mtandao!
Hahaha sawa sawa mpenzi, nami nimerudi halotel Royal bundle. Maisha ni matamu.Mkuu mimi nimetumia internet ya Voda kwa miaka zaidi ya mitano ila halotel naona iko vizuri kuliko Voda
Karibu sana ila kama una njia mbadala na niliyopendekeza weka mapendekezo yako kwa niaba ya kambi ya upinzani ili tuweke kwenye hansard za JF.😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 we jamaa punguza basi ucenge, nimecheka kinoma.
Inategemea na eneo mkuu.Wanaosema spidi ya halotel ni nzuri watumie Vida kisha wajaribu tena kuzungumza
Mkuu mimi pia niko Halotel hivi hii Royal Bando ukiitaka unajiungaje? Tafadhali msaada wako.Halotel wanajitahidi sana upande wa internet, speed yao ni nzuri labda kama tu haikua poa kwa wakati huo wewe unatumia. Najiunga Royal bando kwa 10,000/= naperuzi mwezi mzima bila kikomo.
Royal bundle mbona naona mb kidogo na wewe una matumizi makubwaHahaha sawa sawa mpenzi, nami nimerudi halotel Royal bundle. Maisha ni matamu.
Iyo ni Kweli kabisa MkuuuHalotel iko vizuri ukiwa nje ya mji