korino
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,004
- 659
mkuu kwangu kuna kila toleo la elektronix czitupi naweka kumbukumbu friji nnazo 3 tv nnazo 3 na zote ziko sebuleni
mkuu kwangu kuna kila toleo la elektronix czitupi naweka kumbukumbu friji nnazo 3 tv nnazo 3 na zote ziko sebuleni
Kwani kuomba mchango na ushamba kunahusiana nini hivi unawezaje kukaa na hayo mazagazaga ndani yote daah si wape hata madogo au wagawie watu maisha yaende...huyo mamdenyi ni kati ya memba wa mwanzo jf kuomba mchango wa pesa humu na tulimchangia anadhani file lake hatuna leo anatuita washamba aje akanushe hapa nifanye yangu na by then tulikuwa wastaarab leo angeonekana tapeli
Dah hivi unaweza kadiriaInatumia unity ngapi kwa mwaka.....
Nakadiria umri wako ni miaka hamsini kasoro kidogoTv 3 hizo hapo
Mkuu mbaya sana kutunza mavitu yote hayo ndani yasiyo na maana kwako. Kadri unavyoweka vitu vichache ndani ya nyumba yako unaifanya nyumba yako iwe na hewa na yenyewe inapumua. Hata akili yako inapata ku-relux ukiingia ndani mwako.
na umaskini ni mzigo zaidi mwaka 2013 ulitembeza bakuli humu jf ulizifanyia nini kima wewe
huyo mamdenyi ni kati ya memba wa mwanzo jf kuomba mchango wa pesa humu na tulimchangia anadhani file lake hatuna leo anatuita washamba aje akanushe hapa nifanye yangu na by then tulikuwa wastaarab leo angeonekana tapeli
amecheza na legendari mwache aukalie anadhan kila id ni ya boya
you must be a harloutKakwambia ukweli ni ushamba wa hali ya juu kujitangaza mdau alikuuliza unatengeneza barafu ukajieleza wee na mapicha maana friji uliyonunua mara nyingi ni wa wafanyabiashara wa barafu na vinywaji baridi.
Kuomba msaada JF sio dhambi halafu tuma screenshot ya huo msaada uliompa. watoa misaada hawajitangazi kihivyo.
Acha ushamba mkuu. Nunua kabati jipya. sebule ipo kianalogy zaidi kuwa kidigitali.
pwee pwee mbwembwe nyiingi mpaka unaeleza uliponunulia simu kujishtukia napo kipaji
Tv ya 4 hiyo hapo ipo chumbani ninapotengenezea watoto
you must be a harlout