sasha ally
Member
- Jan 26, 2012
- 13
- 0
ni hak yke kufaham unachat na nan hata ingekuwa wew ungetaka kujua
Kila kitu mnafanya siri ndo matokeo yake. inatakiwa mkeo au mumeo ajue ni nini unafanya wakat mwingine mwambie ona ninachat na yeye akipenda ajiunge. sasa anza kumpembeleza. mwambie jmos ntakutoa ukatembee mjini ununue unachopenda. siku ikifika jifanye kuna zarura huko job.
hivi huyu kongosho ni wa kike au wa kiume :juggle: