Nimenuniwa na laazizi hapa nisaidieni

Kila kitu mnafanya siri ndo matokeo yake. inatakiwa mkeo au mumeo ajue ni nini unafanya wakat mwingine mwambie ona ninachat na yeye akipenda ajiunge. sasa anza kumpembeleza. mwambie jmos ntakutoa ukatembee mjini ununue unachopenda. siku ikifika jifanye kuna zarura huko job.

Ngoja nimjaribu
 
Back
Top Bottom